Vitendo vya kuwaingiza watoto kwenye uchawa vinaongezeka kwa kasi sana, CHADEMA walianza kule Mbeya ila baada ya spana za wananchi naona walijifunza.
Mbali na kuwaweka watoto kwenye chipukizi sasa watoto wanaaza kukaririshwa uchachawa na kupenyeza ajenda za wanasiasa, hii siyo sawa.
Leo Tanga watoto wamepata nafasi ya kuigiza mbele ya Rais na Wananchi lakini maigizo yamejaa uchawa na ajenda za mitano tena, mama anaweza. Ni jambo moja watoto kufanya maigizo ya kuelimisha na kuburudisha hadhara, na ni jambo lingine watoto kumezeshwa uchawa na ajenda za kundi fulani kwa maslahi yao binafsi.
Your browser is not able to display this video.
Nimefurahi hasa jinsi binti huyu alivyokuwa na confidence kwenye kuongea mbele za watu na kupresent kwa ujumla, lakini kumtumia kwenye masuala ya siasa na uchaguzi kueneza agenda zenu za mitano tena, mama anafaa na mama aupiga mwingi si sawa mnakosea sana.
Na Rais kukaa hapo ukifurahia presentation hiyo ni kosa jingine umeongeza kwenye hilo. Yaani hapo wewe umetoa go ahead kwa watoto kuendelea kutumika vibaya kupaza sauti kwenye ajenda na propaganda za kisiasa na uchaguzi. Mnawaexploit watoto kwa manufaa yenu binafsi.
Mzazi uliyepitisha hili (kama alitoa ruhusa), walimu, CCM na Rais Mwenyewe mnaexpose mtoto (watoto) kufanya jambo ambalo litakuja kuathiri na maisha yake mbeleni. Mnaanza kuingiza uchawa kwa watoto toka wakiwa wadogo kabisa, kuja kukuza generation ya vijana inayofikiria bila kumjua kiongozi fulani huwezi kufanikiwa, bila kulamba miguu ya fulani huwezi kusogea mbele, wazazi wengine naao watatamni watoto wao waje kuwa kama binti huyo ili wao wakalie kiti cha Rais na kupata connection!
Watetezi wa haki za watoto mpo? Au ni mpaka mtoto akipigwa tu ndio mpata nguvu za kupaza sauti? Huu nao ni unyanyasaji kama unyanyaji mwingine unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.
Najua wazee wa exposha mtakuja, mara mtoto anaspread her wing upuuzi! Wangeweza kuendelezwa kwa namna nyingine sio hii ya kuwawakarisha ajenda zenu za uchaguzi, maana kutengeneza madaraja watoto wakiwa wadogo kabisa.
Ila kiukweli huyu bibi kwa viwango vyovyote vile atakuwa hatoshi kwenye urais (labda uwaziri), haiwezekani nguvu kubwa itumike hivyo ya kichawa kumpromoti mtu ambaye tayari anahudumu ktk nafasi kubwa nchini...mbona kazi zake zingetosha kumnadi??!!.
Vitendo vya kuwaingiza watoto kwenye uchawa vinaongezeka kwa kasi sana, CHADEMA walianza kule Mbeya ila baada ya spana za wananchi naona walijifunza.
Mbali na kuwaweka watoto kwenye chipukizi sasa watoto wanaaza kukaririshwa uchachawa na kupenyeza ajenda za wanasiasa, hii siyo sawa.
Leo Tanga watoto wamepata nafasi ya kuigiza mbele ya Rais na Wananchi lakini maigizo yamejaa uchawa na ajenda za mitano tena, mama anaweza. Ni jambo moja watoto kufanya maigizo ya kuelimisha na kuburudisha hadhara, na ni jambo lingine watoto kumezeshwa uchawa na ajenda za kundi fulani kwa maslahi yao binafsi.
Nimefurahi hasa jinsi binti huyu alivyokuwa na confidence kwenye kuongea mbele za watu na kupresent kwa ujumla, lakini kumtumia kwenye masuala ya siasa na uchaguzi kueneza agenda zenu za mitano tena, mama anafaa na mama aupiga mwingi si sawa mnakosea sana.
Na Rais kukaa hapo ukifurahia presentation hiyo ni kosa jingine umeongeza kwenye hilo. Yaani hapo wewe umetoa go ahead kwa watoto kuendelea kutumika vibaya kupaza sauti kwenye ajenda na propaganda za kisiasa na uchaguzi. Mnawaexploit watoto kwa manufaa yenu binafsi.
Mzazi uliyepitisha hili (kama alitoa ruhusa), walimu, CCM na Rais Mwenyewe mnaexpose mtoto (watoto) kufanya jambo ambalo litakuja kuathiri na maisha yake mbeleni. Mnaanza kuingiza uchawa kwa watoto toka wakiwa wadogo kabisa, kuja kukuza generation ya vijana inayofikiria bila kumjua kiongozi fulani huwezi kufanikiwa, bila kulamba miguu ya fulani huwezi kusogea mbele, wazazi wengine naao watatamni watoto wao waje kuwa kama binti huyo ili wao wakalie kiti cha Rais na kupata connection!
Watetezi wa haki za watoto mpo? Au ni mpaka mtoto akipigwa tu ndio mpata nguvu za kupaza sauti? Huu nao ni unyanyasaji kama unyanyaji mwingine unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.
Najua wazee wa exposha mtakuja, mara mtoto anaspread her wing upuuzi! Wangeweza kuendelezwa kwa namna nyingine sio hii ya kuwawakarisha ajenda zenu za uchaguzi, maana kutengeneza madaraja watoto wakiwa wadogo kabisa.
Ila kiukweli huyu bibi kwa viwango vyovyote vile atakuwa hatoshi kwenye urais (labda uwaziri), haiwezekani nguvu kubwa itumike hivyo ya kichawa kumpromoti mtu ambaye tayari anahudumu ktk nafasi kubwa nchini...mbona kazi zake zingetosha kumnadi??!!.
Vitendo vya kuwaingiza watoto kwenye uchawa vinaongezeka kwa kasi sana, CHADEMA walianza kule Mbeya ila baada ya spana za wananchi naona walijifunza.
Mbali na kuwaweka watoto kwenye chipukizi sasa watoto wanaaza kukaririshwa uchachawa na kupenyeza ajenda za wanasiasa, hii siyo sawa.
Leo Tanga watoto wamepata nafasi ya kuigiza mbele ya Rais na Wananchi lakini maigizo yamejaa uchawa na ajenda za mitano tena, mama anaweza. Ni jambo moja watoto kufanya maigizo ya kuelimisha na kuburudisha hadhara, na ni jambo lingine watoto kumezeshwa uchawa na ajenda za kundi fulani kwa maslahi yao binafsi.
Nimefurahi hasa jinsi binti huyu alivyokuwa na confidence kwenye kuongea mbele za watu na kupresent kwa ujumla, lakini kumtumia kwenye masuala ya siasa na uchaguzi kueneza agenda zenu za mitano tena, mama anafaa na mama aupiga mwingi si sawa mnakosea sana.
Na Rais kukaa hapo ukifurahia presentation hiyo ni kosa jingine umeongeza kwenye hilo. Yaani hapo wewe umetoa go ahead kwa watoto kuendelea kutumika vibaya kupaza sauti kwenye ajenda na propaganda za kisiasa na uchaguzi. Mnawaexploit watoto kwa manufaa yenu binafsi.
Mzazi uliyepitisha hili (kama alitoa ruhusa), walimu, CCM na Rais Mwenyewe mnaexpose mtoto (watoto) kufanya jambo ambalo litakuja kuathiri na maisha yake mbeleni. Mnaanza kuingiza uchawa kwa watoto toka wakiwa wadogo kabisa, kuja kukuza generation ya vijana inayofikiria bila kumjua kiongozi fulani huwezi kufanikiwa, bila kulamba miguu ya fulani huwezi kusogea mbele, wazazi wengine naao watatamni watoto wao waje kuwa kama binti huyo ili wao wakalie kiti cha Rais na kupata connection!
Watetezi wa haki za watoto mpo? Au ni mpaka mtoto akipigwa tu ndio mpata nguvu za kupaza sauti? Huu nao ni unyanyasaji kama unyanyaji mwingine unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.
Najua wazee wa exposha mtakuja, mara mtoto anaspread her wing upuuzi! Wangeweza kuendelezwa kwa namna nyingine sio hii ya kuwawakarisha ajenda zenu za uchaguzi, maana kutengeneza madaraja watoto wakiwa wadogo kabisa.
Ila kiukweli huyu bibi kwa viwango vyovyote vile atakuwa hatoshi kwenye urais (labda uwaziri), haiwezekani nguvu kubwa itumike hivyo ya kichawa kumpromoti mtu ambaye tayari anahudumu ktk nafasi kubwa nchini...mbona kazi zake zingetosha kumnadi??!!.
Vitendo vya kuwaingiza watoto kwenye uchawa vinaongezeka kwa kasi sana, CHADEMA walianza kule Mbeya ila baada ya spana za wananchi naona walijifunza.
Mbali na kuwaweka watoto kwenye chipukizi sasa watoto wanaaza kukaririshwa uchachawa na kupenyeza ajenda za wanasiasa, hii siyo sawa.
Leo Tanga watoto wamepata nafasi ya kuigiza mbele ya Rais na Wananchi lakini maigizo yamejaa uchawa na ajenda za mitano tena, mama anaweza. Ni jambo moja watoto kufanya maigizo ya kuelimisha na kuburudisha hadhara, na ni jambo lingine watoto kumezeshwa uchawa na ajenda za kundi fulani kwa maslahi yao binafsi.
Nimefurahi hasa jinsi binti huyu alivyokuwa na confidence kwenye kuongea mbele za watu na kupresent kwa ujumla, lakini kumtumia kwenye masuala ya siasa na uchaguzi kueneza agenda zenu za mitano tena, mama anafaa na mama aupiga mwingi si sawa mnakosea sana.
Na Rais kukaa hapo ukifurahia presentation hiyo ni kosa jingine umeongeza kwenye hilo. Yaani hapo wewe umetoa go ahead kwa watoto kuendelea kutumika vibaya kupaza sauti kwenye ajenda na propaganda za kisiasa na uchaguzi. Mnawaexploit watoto kwa manufaa yenu binafsi.
Mzazi uliyepitisha hili (kama alitoa ruhusa), walimu, CCM na Rais Mwenyewe mnaexpose mtoto (watoto) kufanya jambo ambalo litakuja kuathiri na maisha yake mbeleni. Mnaanza kuingiza uchawa kwa watoto toka wakiwa wadogo kabisa, kuja kukuza generation ya vijana inayofikiria bila kumjua kiongozi fulani huwezi kufanikiwa, bila kulamba miguu ya fulani huwezi kusogea mbele, wazazi wengine naao watatamni watoto wao waje kuwa kama binti huyo ili wao wakalie kiti cha Rais na kupata connection!
Watetezi wa haki za watoto mpo? Au ni mpaka mtoto akipigwa tu ndio mpata nguvu za kupaza sauti? Huu nao ni unyanyasaji kama unyanyaji mwingine unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.
Najua wazee wa exposha mtakuja, mara mtoto anaspread her wing upuuzi! Wangeweza kuendelezwa kwa namna nyingine sio hii ya kuwawakarisha ajenda zenu za uchaguzi, maana kutengeneza madaraja watoto wakiwa wadogo kabisa.
vijana wamekata kutapeliwa pesa na matapeli wa kisiasa, na wamegoma kuchochewa na kubebwa ufala na vibaka wa kisiasa, ati wasiende kupiga kura siku ya uchaguzi mkuu Oct mwaka huu 2025🐒
vijana wamekata kutapeliwa pesa na matapeli wa kisiasa, na wamegoma kuchochewa na kubebwa ufala na vibaka wa kisiasa, ati wasiende kupiga kura siku ya uchaguzi mkuu Oct mwaka huu 2025🐒
Vijana na huu uzi kuhusu watoto vinahusianaje Mkuu? Ndio umepaniki kiasi hicho? Waufukweni mletee maji huyu ashushe presha... Lucas Mwashambwa ndio atakuwa amezimia kabisa maana sijamuona kabisa
Vijana na huu uzi kuhusu watoto vinahusianaje Mkuu? Ndio umepaniki kiasi hicho? Waufukweni mletee maji huyu ashushe presha... [B]Lucas Mwashambwa[/B] ndio atakuwa amezimia kabisa maana sijamuona kabisa
Vitendo vya kuwaingiza watoto kwenye uchawa vinaongezeka kwa kasi sana, CHADEMA walianza kule Mbeya ila baada ya spana za wananchi naona walijifunza.
Mbali na kuwaweka watoto kwenye chipukizi sasa watoto wanaaza kukaririshwa uchachawa na kupenyeza ajenda za wanasiasa, hii siyo sawa.
Leo Tanga watoto wamepata nafasi ya kuigiza mbele ya Rais na Wananchi lakini maigizo yamejaa uchawa na ajenda za mitano tena, mama anaweza. Ni jambo moja watoto kufanya maigizo ya kuelimisha na kuburudisha hadhara, na ni jambo lingine watoto kumezeshwa uchawa na ajenda za kundi fulani kwa maslahi yao binafsi.
Nimefurahi hasa jinsi binti huyu alivyokuwa na confidence kwenye kuongea mbele za watu na kupresent kwa ujumla, lakini kumtumia kwenye masuala ya siasa na uchaguzi kueneza agenda zenu za mitano tena, mama anafaa na mama aupiga mwingi si sawa mnakosea sana.
Na Rais kukaa hapo ukifurahia presentation hiyo ni kosa jingine umeongeza kwenye hilo. Yaani hapo wewe umetoa go ahead kwa watoto kuendelea kutumika vibaya kupaza sauti kwenye ajenda na propaganda za kisiasa na uchaguzi. Mnawaexploit watoto kwa manufaa yenu binafsi.
Mzazi uliyepitisha hili (kama alitoa ruhusa), walimu, CCM na Rais Mwenyewe mnaexpose mtoto (watoto) kufanya jambo ambalo litakuja kuathiri na maisha yake mbeleni. Mnaanza kuingiza uchawa kwa watoto toka wakiwa wadogo kabisa, kuja kukuza generation ya vijana inayofikiria bila kumjua kiongozi fulani huwezi kufanikiwa, bila kulamba miguu ya fulani huwezi kusogea mbele, wazazi wengine naao watatamni watoto wao waje kuwa kama binti huyo ili wao wakalie kiti cha Rais na kupata connection!
Watetezi wa haki za watoto mpo? Au ni mpaka mtoto akipigwa tu ndio mpata nguvu za kupaza sauti? Huu nao ni unyanyasaji kama unyanyaji mwingine unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.
Najua wazee wa exposha mtakuja, mara mtoto anaspread her wing upuuzi! Wangeweza kuendelezwa kwa namna nyingine sio hii ya kuwawakarisha ajenda zenu za uchaguzi, maana kutengeneza madaraja watoto wakiwa wadogo kabisa.
Vitendo vya kuwaingiza watoto kwenye uchawa vinaongezeka kwa kasi sana, CHADEMA walianza kule Mbeya ila baada ya spana za wananchi naona walijifunza.
Mbali na kuwaweka watoto kwenye chipukizi sasa watoto wanaaza kukaririshwa uchachawa na kupenyeza ajenda za wanasiasa, hii siyo sawa.
Leo Tanga watoto wamepata nafasi ya kuigiza mbele ya Rais na Wananchi lakini maigizo yamejaa uchawa na ajenda za mitano tena, mama anaweza. Ni jambo moja watoto kufanya maigizo ya kuelimisha na kuburudisha hadhara, na ni jambo lingine watoto kumezeshwa uchawa na ajenda za kundi fulani kwa maslahi yao binafsi.
Nimefurahi hasa jinsi binti huyu alivyokuwa na confidence kwenye kuongea mbele za watu na kupresent kwa ujumla, lakini kumtumia kwenye masuala ya siasa na uchaguzi kueneza agenda zenu za mitano tena, mama anafaa na mama aupiga mwingi si sawa mnakosea sana.
Na Rais kukaa hapo ukifurahia presentation hiyo ni kosa jingine umeongeza kwenye hilo. Yaani hapo wewe umetoa go ahead kwa watoto kuendelea kutumika vibaya kupaza sauti kwenye ajenda na propaganda za kisiasa na uchaguzi. Mnawaexploit watoto kwa manufaa yenu binafsi.
Mzazi uliyepitisha hili (kama alitoa ruhusa), walimu, CCM na Rais Mwenyewe mnaexpose mtoto (watoto) kufanya jambo ambalo litakuja kuathiri na maisha yake mbeleni. Mnaanza kuingiza uchawa kwa watoto toka wakiwa wadogo kabisa, kuja kukuza generation ya vijana inayofikiria bila kumjua kiongozi fulani huwezi kufanikiwa, bila kulamba miguu ya fulani huwezi kusogea mbele, wazazi wengine naao watatamni watoto wao waje kuwa kama binti huyo ili wao wakalie kiti cha Rais na kupata connection!
Watetezi wa haki za watoto mpo? Au ni mpaka mtoto akipigwa tu ndio mpata nguvu za kupaza sauti? Huu nao ni unyanyasaji kama unyanyaji mwingine unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.
Najua wazee wa exposha mtakuja, mara mtoto anaspread her wing upuuzi! Wangeweza kuendelezwa kwa namna nyingine sio hii ya kuwawakarisha ajenda zenu za uchaguzi, maana kutengeneza madaraja watoto wakiwa wadogo kabisa.
Vijana na huu uzi kuhusu watoto vinahusianaje Mkuu? Ndio umepaniki kiasi hicho? Waufukweni mletee maji huyu ashushe presha... Lucas Mwashambwa ndio atakuwa amezimia kabisa maana sijamuona kabisa
nikuhakikishie wew na wadau wengine kwa msisitizo zaidi kwamba,
Tanzania wajinga waliisha kitambo sana,
na, hayupo kijana alietayari kutapeliwa pesa zake kwa manufaa ya ombaomba moja mvivu mwenye mdomo na makelele mengi na asietaka kufanya kazi na kujitegemea,
hakuna tena kijana wa kudhulumiwa uhuru na haki zake za kikatiba hususani kupiga kura na kibaka yeyote ya kisiasa humu nchini 🐒
Vijana na huu uzi kuhusu watoto vinahusianaje Mkuu? Ndio umepaniki kiasi hicho? Waufukweni mletee maji huyu ashushe presha... Lucas Mwashambwa ndio atakuwa amezimia kabisa maana sijamuona kabisa