Pre GE2025 Wanasiasa mnanyanyasa watoto kwa kuwamezesha uchawa na propaganda zenu. Watetezi wa haki za watoto mko wapi?

Pre GE2025 Wanasiasa mnanyanyasa watoto kwa kuwamezesha uchawa na propaganda zenu. Watetezi wa haki za watoto mko wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu wanachekelea uchawa lakini ni jambo la kupinga kabisa. Ukishakuwa chawa akili inadumaa na uwezo wa kujenga hoja nakufanya reasoning unapungua. Kama wanaanza kuingiza watoto kwenye uchawa tutakuwa na taifa la vijana tegemezi miaka ijayo.
 
nikuhakikishie wew na wadau wengine kwa msisitizo zaidi kwamba,

Tanzania wajinga waliisha kitambo sana,
na, hayupo kijana alietayari kutapeliwa pesa zake kwa manufaa ya ombaomba moja mvivu mwenye mdomo na makelele mengi na asietaka kufanya kazi na kujitegemea,

hakuna tena kijana wa kudhulumiwa uhuru na haki zake za kikatiba hususani kupiga kura na kibaka yeyote ya kisiasa humu nchini 🐒
Yooooo... Mkuu dishi lishayumba maskini:BearLaugh::KEKWlaugh::KEKWlaugh:...kunywa maji upumzike kidogo... hatutaki kukupoteza Mkuu, bado tunakuhitaji.
 
Yooooo... Mkuu dishi lishayumba maskini:BearLaugh::KEKWlaugh::KEKWlaugh:...kunywa maji upumzike kidogo... hatutaki kukupoteza Mkuu, bado tunakuhitaji.
Yes,
Taifa na waTanzania wananihitaji kusema ukweli na kurekebisha aina zote za upotoshaji jukwaani.

vijana lazma wapate makuzi mema ya kiadilifu katika uongozi.

na kuelekezwa namna ya kisayansi kujiepusha na matapeli na vibaka wa kisiasa nchini 🐒
 
Wakuu,

Vitendo vya kuwaingiza watoto kwenye uchawa vinaongezeka kwa kasi sana, CHADEMA walianza kule Mbeya ila baada ya spana za wananchi naona walijifunza.

Mbali na kuwaweka watoto kwenye chipukizi sasa watoto wanaaza kukaririshwa uchachawa na kupenyeza ajenda za wanasiasa, hii siyo sawa.

Leo Tanga watoto wamepata nafasi ya kuigiza mbele ya Rais na Wananchi lakini maigizo yamejaa uchawa na ajenda za mitano tena, mama anaweza. Ni jambo moja watoto kufanya maigizo ya kuelimisha na kuburudisha hadhara, na ni jambo lingine watoto kumezeshwa uchawa na ajenda za kundi fulani kwa maslahi yao binafsi.


Nimefurahi hasa jinsi binti huyu alivyokuwa na confidence kwenye kuongea mbele za watu na kupresent kwa ujumla, lakini kumtumia kwenye masuala ya siasa na uchaguzi kueneza agenda zenu za mitano tena, mama anafaa na mama aupiga mwingi si sawa mnakosea sana.

Na Rais kukaa hapo ukifurahia presentation hiyo ni kosa jingine umeongeza kwenye hilo. Yaani hapo wewe umetoa go ahead kwa watoto kuendelea kutumika vibaya kupaza sauti kwenye ajenda na propaganda za kisiasa na uchaguzi. Mnawaexploit watoto kwa manufaa yenu binafsi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mzazi uliyepitisha hili (kama alitoa ruhusa), walimu, CCM na Rais Mwenyewe mnaexpose mtoto (watoto) kufanya jambo ambalo litakuja kuathiri na maisha yake mbeleni. Mnaanza kuingiza uchawa kwa watoto toka wakiwa wadogo kabisa, kuja kukuza generation ya vijana inayofikiria bila kumjua kiongozi fulani huwezi kufanikiwa, bila kulamba miguu ya fulani huwezi kusogea mbele, wazazi wengine naao watatamni watoto wao waje kuwa kama binti huyo ili wao wakalie kiti cha Rais na kupata connection!

Watetezi wa haki za watoto mpo? Au ni mpaka mtoto akipigwa tu ndio mpata nguvu za kupaza sauti? Huu nao ni unyanyasaji kama unyanyaji mwingine unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.

Najua wazee wa exposha mtakuja, mara mtoto anaspread her wing upuuzi! Wangeweza kuendelezwa kwa namna nyingine sio hii ya kuwawakarisha ajenda zenu za uchaguzi, maana kutengeneza madaraja watoto wakiwa wadogo kabisa.
Huu ni ujinga kwa kweli halafu utasikia mwanasiasa anawaambia Watanzania waendelee kukariri Quran, Yaani mtu mzima na akili timamu unawaambia wananchi wako waendelee kuwa wajinga....mbona watoto wenu hamuwaambii wakariri hiyo Quran, si mnajuwa ni ujinga mtupu? Jiulizeni, mtoto anakariri Quran inamsaidia nini maishani kama si kufuga majini tu na kuwa mnafiki kwa wenzake? We need to be serious here.
 
Wakuu,

Vitendo vya kuwaingiza watoto kwenye uchawa vinaongezeka kwa kasi sana, CHADEMA walianza kule Mbeya ila baada ya spana za wananchi naona walijifunza.

Mbali na kuwaweka watoto kwenye chipukizi sasa watoto wanaaza kukaririshwa uchachawa na kupenyeza ajenda za wanasiasa, hii siyo sawa.

Leo Tanga watoto wamepata nafasi ya kuigiza mbele ya Rais na Wananchi lakini maigizo yamejaa uchawa na ajenda za mitano tena, mama anaweza. Ni jambo moja watoto kufanya maigizo ya kuelimisha na kuburudisha hadhara, na ni jambo lingine watoto kumezeshwa uchawa na ajenda za kundi fulani kwa maslahi yao binafsi.


Nimefurahi hasa jinsi binti huyu alivyokuwa na confidence kwenye kuongea mbele za watu na kupresent kwa ujumla, lakini kumtumia kwenye masuala ya siasa na uchaguzi kueneza agenda zenu za mitano tena, mama anafaa na mama aupiga mwingi si sawa mnakosea sana.

Na Rais kukaa hapo ukifurahia presentation hiyo ni kosa jingine umeongeza kwenye hilo. Yaani hapo wewe umetoa go ahead kwa watoto kuendelea kutumika vibaya kupaza sauti kwenye ajenda na propaganda za kisiasa na uchaguzi. Mnawaexploit watoto kwa manufaa yenu binafsi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mzazi uliyepitisha hili (kama alitoa ruhusa), walimu, CCM na Rais Mwenyewe mnaexpose mtoto (watoto) kufanya jambo ambalo litakuja kuathiri na maisha yake mbeleni. Mnaanza kuingiza uchawa kwa watoto toka wakiwa wadogo kabisa, kuja kukuza generation ya vijana inayofikiria bila kumjua kiongozi fulani huwezi kufanikiwa, bila kulamba miguu ya fulani huwezi kusogea mbele, wazazi wengine naao watatamni watoto wao waje kuwa kama binti huyo ili wao wakalie kiti cha Rais na kupata connection!

Watetezi wa haki za watoto mpo? Au ni mpaka mtoto akipigwa tu ndio mpata nguvu za kupaza sauti? Huu nao ni unyanyasaji kama unyanyaji mwingine unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.

Najua wazee wa exposha mtakuja, mara mtoto anaspread her wing upuuzi! Wangeweza kuendelezwa kwa namna nyingine sio hii ya kuwawakarisha ajenda zenu za uchaguzi, maana kutengeneza madaraja watoto wakiwa wadogo kabisa.
Nashauri serikali ikamate mwanasiasa yeyote anayeshauri watoto kukariri Quaran au Biblia na kuwafanya wajinga. hatutaki taifa la kijinga, tunataka watu waliosoma na wanaojitambua akili ili nchi ipige hatua.
 
Wakuu,

Vitendo vya kuwaingiza watoto kwenye uchawa vinaongezeka kwa kasi sana, CHADEMA walianza kule Mbeya ila baada ya spana za wananchi naona walijifunza.

Mbali na kuwaweka watoto kwenye chipukizi sasa watoto wanaaza kukaririshwa uchachawa na kupenyeza ajenda za wanasiasa, hii siyo sawa.

Leo Tanga watoto wamepata nafasi ya kuigiza mbele ya Rais na Wananchi lakini maigizo yamejaa uchawa na ajenda za mitano tena, mama anaweza. Ni jambo moja watoto kufanya maigizo ya kuelimisha na kuburudisha hadhara, na ni jambo lingine watoto kumezeshwa uchawa na ajenda za kundi fulani kwa maslahi yao binafsi.


Nimefurahi hasa jinsi binti huyu alivyokuwa na confidence kwenye kuongea mbele za watu na kupresent kwa ujumla, lakini kumtumia kwenye masuala ya siasa na uchaguzi kueneza agenda zenu za mitano tena, mama anafaa na mama aupiga mwingi si sawa mnakosea sana.

Na Rais kukaa hapo ukifurahia presentation hiyo ni kosa jingine umeongeza kwenye hilo. Yaani hapo wewe umetoa go ahead kwa watoto kuendelea kutumika vibaya kupaza sauti kwenye ajenda na propaganda za kisiasa na uchaguzi. Mnawaexploit watoto kwa manufaa yenu binafsi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mzazi uliyepitisha hili (kama alitoa ruhusa), walimu, CCM na Rais Mwenyewe mnaexpose mtoto (watoto) kufanya jambo ambalo litakuja kuathiri na maisha yake mbeleni. Mnaanza kuingiza uchawa kwa watoto toka wakiwa wadogo kabisa, kuja kukuza generation ya vijana inayofikiria bila kumjua kiongozi fulani huwezi kufanikiwa, bila kulamba miguu ya fulani huwezi kusogea mbele, wazazi wengine naao watatamni watoto wao waje kuwa kama binti huyo ili wao wakalie kiti cha Rais na kupata connection!

Watetezi wa haki za watoto mpo? Au ni mpaka mtoto akipigwa tu ndio mpata nguvu za kupaza sauti? Huu nao ni unyanyasaji kama unyanyaji mwingine unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.

Najua wazee wa exposha mtakuja, mara mtoto anaspread her wing upuuzi! Wangeweza kuendelezwa kwa namna nyingine sio hii ya kuwawakarisha ajenda zenu za uchaguzi, maana kutengeneza madaraja watoto wakiwa wadogo kabisa.
Yaaaniii uchawa full house....
 
Yes,
Taifa na waTanzania wananihitaji kusema ukweli na kurekebisha aina zote za upotoshaji jukwaani.

vijana lazma wapate makuzi mema ya kiadilifu katika uongozi.

na kuelekezwa namna ya kisayansi kujiepusha na matapeli na vibaka wa kisiasa nchini 🐒
Kwa jinsi mada imewashika huna vha kusema hapo unakimbia kurukia jambo jingine🤣🤣🤣
 
Kwa jinsi mada imewashika huna vha kusema hapo unakimbia kurukia jambo jingine🤣🤣🤣
siwezi kukimbia upotoshaji my lady,

nitakuwepo kila mahali kudhibiti upotoshaji dhidi ya mambo mbalimbali yasiyo na tija ambayo mnajaribu kuyatumia kuhadaa wadau na wananchi.

kama kiongozi wa wananchi nitaendelea kusema Ukweli dhidi ya upotoshaji wowote humu jukwaani bila mbambamba yoyote 🐒
 
Back
Top Bottom