Wanasiasa mpo wapi? Watu wanauawa sana. Mmenyamaza kabisa hamyasikii na kuyaona haya?

Wanasiasa mpo wapi? Watu wanauawa sana. Mmenyamaza kabisa hamyasikii na kuyaona haya?

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Week hii aliuawa dada mmoja huko Kibaha, Week hii hii tena kuna dada kauawa huko Musoma. Ukirudi nyuma weeks mbili ago kuna mtu aliuawa na mwingine alipatikana baada ya kupotea kwa muda fulani.

Kuna watu kadhaa wamepotea na kuuawa lakini sisikii Waziri, Naibu , Wabunge wala wapinzani wakikemea jambo hili. Mmekuwa busy kiasi hiki? au hawa wanaouawa si binadamu?

Wanasiasa wengi ni wanafiki sana. Huwa hawana ukweli siku zote. Kweli ya jana siyo kweli ya leo. Huwa hawana marafiki wala maadui wa kudumu. Wana maslahi tu ya kudumu.
 
Waambie hao ndugu zako wanaouawa waache ugoni.

Yaani unataka serikali ihangaike na wagoni?
 
Week hii aliuawa dada mmoja huko Kibaha, Week hii hii tena kuna dada kauawa huko Musoma. ukirudi nyuma weeks mbili ago kuna mtu aliuawa na mwingine alipatikana baada ya kupotea kwa...
Walipouawa wanasiasa kuna watu walisema eti hao nao wamezidi.
 


Angalia hiyo makala very interesting

Nilichojifunza hapo kuna uzembe mkubwa sana upande wa polisi kupunguza ivyo vifo.

Kuna hatua zimepigwa on partnership working kati ya jeshi la polisi, asasi za kiraia na serikali ya mtaa I.e (ustawi wa jami na wenyeviti wa mitaa). Wote hao wakipokea kesi wanatakiwa waripoti polisi. Ila hapo kwenye ‘interagency team work’ shule pia inatakiwa ziingizwe na vituo vya afya ata wao wakiona mtoto ana alama za abuse shuleni au hospitali kuna mgonjwa ambae majeraha yake sababu ni kipigo wanatakiwa kuripoti polisi kupeleleza.

Sasa katika hiyo interagency working kwenye hiyo makala wanaolewa cha kufanya ili kupambana na hizo changamoto ni asasi za kiraia ya kuwa serikali iache mzaha kuachia watu kirahisi.

Ila alienisikitisha ni ofisa wa polisi anaesimamia dawati la ukatili wa watoto na wanawake. Kwanza lugha yake surely polisi wanakuwa trained on tone of language na choice of words kwenye press conference au interview wanapotoa ujumbe kwenye jambo ambalo serious. Yeye anaongea kama vile anabembelezana ata mtu ukimsikiliza uwezi mchukulia serious.

Pili eti anadai kuna watu huko chini wanafuta kesi kwa kuwapatanisha au kuzimaliza kifamilia hivyo wanashindwa shitaki. Mi sijawahi sikia upuuzi kama kesi za unyanyasaji ni criminal offence na polisi inaweza shitaki ata kama victim ataki kuendelea na case, pili ustawi wa jamii na mwenyekiti wa mtaa hawana mamlaka ya kutatua hizo jinai zaidi ya jeshi la polisi. Sasa ulitegemea polisi atoe onyo wanaozimaliza hizo case huko chini bila ya kuzifikisha kwao na wenyewe wanavunja sheria kwa sababu hiyo ‘abetting’ kusaidia mvunja sheria kwenye jinai na kosa hilo kisheria lenye adhabu yake.

Kwa kifupi jeshi la polisi inabidi lijitazame jinsi linavyosimamia haya mambo; unaweza kuta wanawake wengi wanaouwawa shida zao zilishafika kwa mwenyekiti wa kijiji au ustawi wa jamii but necessary actions were not taken, huko mbeleni jitu limeshaona alijafanywa kitu kwa muda mrefu mwishowe anaua.

Poor role ya jeshi la polisi ni sehemu kubwa ya haya matatizo.
 
Week hii aliuawa dada mmoja huko Kibaha, Week hii hii tena kuna dada kauawa huko Musoma. Ukirudi nyuma weeks mbili ago kuna mtu aliuawa na mwingine alipatikana baada ya kupotea kwa muda fulani.

Kuna watu kadhaa wamepotea na kuuawa lakini sisikii Waziri, Naibu , Wabunge wala wapinzani wakikemea jambo hili. Mmekuwa busy kiasi hiki? au hawa wanaouawa si binadamu?

Wanasiasa wengi ni wanafiki sana. Huwa hawana ukweli siku zote. Kweli ya jana siyo kweli ya leo. Huwa hawana marafiki wala maadui wa kudumu. Wana maslahi tu ya kudumu.
Tulia mkuu, kuna maridhiano tayar. Kwaiyo, hakuna haja ya makelele. Nchi ishatulia tayar. Famaskhara nn?

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Week hii aliuawa dada mmoja huko Kibaha, Week hii hii tena kuna dada kauawa huko Musoma. Ukirudi nyuma weeks mbili ago kuna mtu aliuawa na mwingine alipatikana baada ya kupotea kwa muda fulani.

Kuna watu kadhaa wamepotea na kuuawa lakini sisikii Waziri, Naibu , Wabunge wala wapinzani wakikemea jambo hili. Mmekuwa busy kiasi hiki? au hawa wanaouawa si binadamu?

Wanasiasa wengi ni wanafiki sana. Huwa hawana ukweli siku zote. Kweli ya jana siyo kweli ya leo. Huwa hawana marafiki wala maadui wa kudumu. Wana maslahi tu ya kudumu.
Umeongea kwa hisia sana.
Tatizo ni watekelezaji sasa wako busy wanalamba zao asali. Kila linalotokea ni kama hawaoni wala kusikia, unaweza kusema tuko nchi tofautii na wanayoishi wao
 
Back
Top Bottom