Wanasiasa na viongozi wa dini ni tishio kubwa la ustawi wa jamii ya watanzania na Afrika

Wanasiasa na viongozi wa dini ni tishio kubwa la ustawi wa jamii ya watanzania na Afrika

Ni ukweli usiopingika kuwa wanasiasa wanawatumia viongozi wa dini zote kwa maslahi yao, na viongozi wa dini wameshaionja asali ya ubadhirifu, wao sasa wamekuwa mstari wa mbele kuitumia fursa.

Wamekutana wanafik na wanafik wenzao.

Zamani viongozi wa dini walitumika kuhamasisha jamii zao bila malipo wala sadaka za kutokea serikalini, leo kiongozi wa dini analipwa "per diem" tena bahasha nene kila anapoalikwa kwenye mikutano ya kisiasa, kuna dini hapo au unafik tu?
Kuna wakati kichwa chako kinafanya kazi vizuri
 
Tapeli aliyeshika chati kwa sasa ni Mwamposa
1) Mwamposa
2) Kuhani Mussa wa Kimara Temboni
3) Dominick aka Kiboko ya Wachawi jina lake halisi ni Hassan Wamba raia wa DRC
4) James Nyakia wa Mwenge Mpakani.
Wapo wengi sana lakini hawa nilioorodhesha nimedhibitisha mimi mwenyewe kwa kweda kwenye madhabahu zao za kishetani. Serikali inawafumbia macho lakini hawa watu ni matapeli na wanajikusanyia ukwasi wa kutisha bila kulipa kodi Serikalini.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa wanasiasa wanawatumia viongozi wa dini zote kwa maslahi yao, na viongozi wa dini wameshaionja asali ya ubadhirifu, wao sasa wamekuwa mstari wa mbele kuitumia fursa.

Wamekutana wanafik na wanafik wenzao.

Zamani viongozi wa dini walitumika kuhamasisha jamii zao bila malipo wala sadaka za kutokea serikalini, leo kiongozi wa dini analipwa "per diem" tena bahasha nene kila anapoalikwa kwenye mikutano ya kisiasa, kuna dini hapo au unafik tu?
Shikamoo Faiza Fox huu ni ushindi kwa mara ya kwanza uneniunga mkono
 
Uislam umekuja kumweka mtu huru, hizo unazoongelea za ukondoo siyo mafundisho ya Kiislam.

Uislam unatufundisha kuwa kila mmoja wetu anapaswa awe "Khalifa" na kila mmoja wetu anapaswa awe ni mchungaji wa mwenzake. Hakuna kondoo.

Tuamrishane mema na tukatazane maovu na mabaya.
Kwa udini wewe ajuza hujambo
 
Kwa udini wewe ajuza hujambo
Kama "udini " unamaanisha Uislam, hapo hujakosea.

Binafsi nimesema kuwa Waislam tunatakiwa tuwe mfano wa kuigwa, siyo kama hao mapoyoyo wanaojindeshea hivyo vituo kinyume na utaratibu.

Wanaweka hivyo vituo kwa malengo ya kuombea misaada. Usikute hao wana zamu za kwenda kuomba omba sadaka mitaani.

Naungana na mkuu wa wilaya, wafynguliwe mashtaka hao wasimamizi ili iwe fundisho kwa wengine.

Uislam hauruhusu kuvunja sheria na kanuni za nchi.
 
Kama "udini " unamaanisha Uislam, hapo hujakosea.

Binafsi nimesema kuwa Waislam tunatakiwa tuwe mfano wa kuigwa, siyo kama hao mapoyoyo wanaojindeshea hivyo vituo kinyume na utaratibu.

Wanaweka hivyo vituo kwa malengo ya kuombea misaada. Usikute hao wana zamu za kwenda kuomba omba sadaka mitaani.

Naungana na mkuu wa wilaya, wafynguliwe mashtaka hao wasimamizi ili iwe fundisho kwa wengine.

Uislam hauruhusu kuvunja sheria na kanuni za nchi.
Sahivi naona umekuwa hongera
 
Back
Top Bottom