Wanasiasa na viongozi wa dini ni tishio kubwa la ustawi wa jamii ya watanzania na Afrika

Kuna wakati kichwa chako kinafanya kazi vizuri
 
Tapeli aliyeshika chati kwa sasa ni Mwamposa
1) Mwamposa
2) Kuhani Mussa wa Kimara Temboni
3) Dominick aka Kiboko ya Wachawi jina lake halisi ni Hassan Wamba raia wa DRC
4) James Nyakia wa Mwenge Mpakani.
Wapo wengi sana lakini hawa nilioorodhesha nimedhibitisha mimi mwenyewe kwa kweda kwenye madhabahu zao za kishetani. Serikali inawafumbia macho lakini hawa watu ni matapeli na wanajikusanyia ukwasi wa kutisha bila kulipa kodi Serikalini.
 
Shikamoo Faiza Fox huu ni ushindi kwa mara ya kwanza uneniunga mkono
 
Kwa udini wewe ajuza hujambo
 
Kwa udini wewe ajuza hujambo
Kama "udini " unamaanisha Uislam, hapo hujakosea.

Binafsi nimesema kuwa Waislam tunatakiwa tuwe mfano wa kuigwa, siyo kama hao mapoyoyo wanaojindeshea hivyo vituo kinyume na utaratibu.

Wanaweka hivyo vituo kwa malengo ya kuombea misaada. Usikute hao wana zamu za kwenda kuomba omba sadaka mitaani.

Naungana na mkuu wa wilaya, wafynguliwe mashtaka hao wasimamizi ili iwe fundisho kwa wengine.

Uislam hauruhusu kuvunja sheria na kanuni za nchi.
 
Sahivi naona umekuwa hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…