Wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa hujiona spesho sana!

Unaijua mbinu ya kung'ata na kupuliza kwa kupigapiga kwa upole mgongoni aisee.Upo vizuri.Pale Lumumba watakuambia weye ni msemakweli hadi basi.
Mimi ni mwanahabari kazi yangu ni kukumbusha tuu kile kichosemwa humu.

Kwa vile sii wengi wanaijua karma, hivyo wakati wakitenda matendo yao maovu, no one keeps track ya matendo hayo, sasa siku wakilipwa ndio watu mnashangaa kwa bakora na mapigo ya karma na wanaokula bakora hizo wala hawakumbuki walifanyaga nini!.
Hivyo mimi I keep a very good record humu, mfano walipunuonea ZZK na kumtimua kama mwizi, niliwaeleza humu, Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!" lakini na ZZK mwenyewe pia nilimuonya Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Sasa Chadema imenyauka ZZK anachanua!.
Karma is real!.
P
 
Sawa panya road tumekusikia,wazo lako tunalifanyia kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…