Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Leo umekuwa mkali kulikoni? Uko sawa lkn, wapigwe wanasiasa, wapigweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeKuna watu wanajiona ni bora zaidi ya wengine wote bila kujua kuwa elimu yetu ndiyo tunu pekee ya kuongoza taifa letu. Wanasiasa mnapojifanya hamuoni tatizo la ajira kwa vijana wetu mjiandae kuondolewa ofsini kwa mabavu. Kama mnahisi kuwa mpo bora zaidi mnajidanganya. Kununua magari yenu pesa zipo, kujenga nyumba zenu pesa zipo ila kununua vitabu pesa hakuna, kununua madawa hospital pesa hakuna, kuchonga madawati pesa hakuna. Endeleeni tu kuwa vipofu.
THE LOST, lost and gone in air.
Hii inatokana na umasikini uliokithiri ndio maana tumezoea kubebana.Hata ufanyaje. Hali hii haiwezi kubadilika mpaka mwisho wa dunia. Viongozi wetu wamejaa ubinafsi sana. Waafrika tuna matatizo makubwa hata wewe ukiwa kiongoz mkubwa cha kwanza utaangalia familia yako na ndugu zako kwanza. Ni mwendo wa kujilimbikizia mali tu. Wakat huku mtaani watu wanalia njaa kali.
Tangu ateuliwe haondoki ikulu,kazi ni uteuzi kila siku.ataipa CCM wakati ngumu sana 2025Tena Mama Samia kila siku anawateua wao na watoto wao kwakweli mama unafeli hapa
Mbona kwenye awamu ya 5 hukuyauliza haya maswali yako ?Kuna watu wanajiona ni bora zaidi ya wengine wote bila kujua kuwa elimu yetu ndiyo tunu pekee ya kuongoza taifa letu.
Wanasiasa mnapojifanya hamuoni tatizo la ajira kwa vijana wetu mjiandae kuondolewa ofsini. Kama mnahisi kuwa mpo bora zaidi mnajidanganya.
Kununua magari yenu pesa zipo, kujenga nyumba zenu pesa zipo ila kununua vitabu pesa hakuna, kununua madawa hospital pesa hakuna, kuchonga madawati pesa hakuna. Endeleeni tu kuwa vipofu.
THE LOST, lost and gone in air.
Kina Makonda ,pepole,Bashiru walipo teuliwa mbona hamkupiga mayowe mnayo yapiga sasa?Tena Mama Samia kila siku anawateua wao na watoto wao kwakweli mama unafeli hapa
Amekuwa mkali kisa kuzoea vya kunyonga sasa wanaambiwa wachinje wanaona wanaonewaLeo umekuwa mkali kulikoni? Uko sawa lkn, wapigwe wanasiasa, wapigweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mkuu hakika haupo sawa kichwani! Wewe umeanza kunifatilia leo naona. Kwa taarifa yako nilimkosoa Magufuli akiwa hai na kamwe siwezi kumkosoa akiwa mfu. Kuwa na heshima, hata kama ningekuwa upande wa Magufuli bado hakunizuii kuwanyoshea kidole wanasiasa wa leo maana wote ni walewale wa mwendazake.Mbona kwenye awamu ya 5 hukuyauliza haya maswali yako ?
Mbona kwenye awamu ya 5 hukuwaonya wana siasa?
Tulieni sawa sawia ili sindano iwaingie vyema mwilini kusudi mpone maradhi yenu hayo ya kibaguzi.
Mlipanda mbegu za ubaguzi kwa kutegemea mnawakomoa baadhi ya watanzania, kumbe sasa kibao kimewageuka mmeanza kulia lia.
Pole sana mlizoea vya kunyongaMkuu hakika haupo sawa kichwani! Wewe umeanza kunifatilia leo naona. Kwa taarifa yako nilimkosoa Magufuli akiwa hai na kamwe siwezi kumkosoa akiwa mfu. Kuwa na heshima, hata kama ningekuwa upande wa Magufuli bado hakunizuii kuwanyoshea kidole wanasiasa wa leo maana wote ni walewale wa mwendazake.
Huko ndiyo kuisoma namba mlikokuwa mnashangilia hovyo kama hamnazo na sasa ndiyo zamu yenu ya kuisoma namba.Mkuu hakika haupo sawa kichwani! Wewe umeanza kunifatilia leo naona. Kwa taarifa yako nilimkosoa Magufuli akiwa hai na kamwe siwezi kumkosoa akiwa mfu. Kuwa na heshima, hata kama ningekuwa upande wa Magufuli bado hakunizuii kuwanyoshea kidole wanasiasa wa leo maana wote ni walewale wa mwendazake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ungekuwa karibu ningekulamba hata kofi.....Tulieni nyie, chama cha kijani ndio mwenye jiko halafu serikali ni mpishi, nyie wananchi ni kama yale mapaka yanayokaa bar siku wakiamua kuwatupia minofu mnakula na kushukuru, wakiamua kuwapiga mnapigwa, wakiamua kuwafukuza mnafukuzwa. Ila wakati wa kuombana kura huwa tunawajali sana na kuwapenda