Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
- Thread starter
- #41
Mkuu mbona hawafikii hata 200.Kuna kikundi cha watu wachache wahuni ndiyo wanafaidi keki ya Taifa. Hawa wahuni hawafiki hata 5,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona hawafikii hata 200.Kuna kikundi cha watu wachache wahuni ndiyo wanafaidi keki ya Taifa. Hawa wahuni hawafiki hata 5,000
Mkuu utakuwa unacheza conspiracy mbaya sana, ni sawa na kupanga kudondosha ndege unayoendesha mwenyewe.....tatizo mtu mwenye ufinyu wa mawazo anatazama usawa wa pua yake, ukijenga misingi bora hata kizazi chako cha nne watafaidi kuliko kupanga kufanya maangamizi kwa maslahi binafsi, matokeo yake wewe na kizazi chako chote kinaangamia.....Sawa....
Ngj upate channel lzm upige
Binafsi mm nikipata nafasi nawasha tu
Maslahi yangu kwanza mengine badaye
Sema nacheza kwa step
Ova
Mkuu mbona hawafikii hata 200.
Ndo haya makundi tunayosikia, sukuma gang, msoga gang, chato gang, etc.......angalau yangekuwa ni makundi ya ku-advance falsafa au agenda za nchi badala ya kuishia kwenye upigaji...Mkuu mbona hawafikii hata 200.
Sio wanasiasa sema CCM ndio wnaaona nchi ya kwao peke yao.Kuna watu wanajiona ni bora zaidi ya wengine wote bila kujua kuwa elimu yetu ndiyo tunu pekee ya kuongoza taifa letu.
Wanasiasa mnapojifanya hamuoni tatizo la ajira kwa vijana wetu mjiandae kuondolewa ofsini. Kama mnahisi kuwa mpo bora zaidi mnajidanganya.
Kununua magari yenu pesa zipo, kujenga nyumba zenu pesa zipo ila kununua vitabu pesa hakuna, kununua madawa hospital pesa hakuna, kuchonga madawati pesa hakuna. Endeleeni tu kuwa vipofu.
THE LOST, lost and gone in air.
Kuna watu wanajiona ni bora zaidi ya wengine wote bila kujua kuwa elimu yetu ndiyo tunu pekee ya kuongoza taifa letu.
Wanasiasa mnapojifanya hamuoni tatizo la ajira kwa vijana wetu mjiandae kuondolewa ofsini. Kama mnahisi kuwa mpo bora zaidi mnajidanganya.
Kununua magari yenu pesa zipo, kujenga nyumba zenu pesa zipo ila kununua vitabu pesa hakuna, kununua madawa hospital pesa hakuna, kuchonga madawati pesa hakuna. Endeleeni tu kuwa vipofu.
THE LOST, lost and gone in kuu
Nilidhani mambo hayo yameondoka na mwendazake. Si mlisema kwamba ndiye anayeharibu nchi?Kuna watu wanajiona ni bora zaidi ya wengine wote bila kujua kuwa elimu yetu ndiyo tunu pekee ya kuongoza taifa letu.
Wanasiasa mnapojifanya hamuoni tatizo la ajira kwa vijana wetu mjiandae kuondolewa ofsini. Kama mnahisi kuwa mpo bora zaidi mnajidanganya.
Kununua magari yenu pesa zipo, kujenga nyumba zenu pesa zipo ila kununua vitabu pesa hakuna, kununua madawa hospital pesa hakuna, kuchonga madawati pesa hakuna. Endeleeni tu kuwa vipofu.
THE LOST, lost and gone in air.
Mwendazake alikuwa ibilisi sheeetwanNi Kama mwendazake zake,alijaza ndugu na kabila lake.
😂😂wasitushauri, tukiona ni muhimu tutafanya wenyewe. wakati yeye hataki kuachia nafasi yakeTuongeze ubunifu na uzalendo, na wanasema vijana wa siku hizi ni wavivu hawajitumi wajiajiri nchi ina fursa nyingi🤣
Wanasiasa wanakuwa kama mamotivesheni spika😂😂wasitushauri, tukiona ni muhimu tutafanya wenyewe. wakati yeye hataki kuachia nafasi yake
Wapuuzi nyie mnalalamikia ajira kwa vijana alafu watu wakipanga miradi mikubwa ya kutengeneza ajira Kwa mamilioni kama Bandari ya Bagamoyo na mtu akihangaika kufungua milango ya Tanzania ili wawekezaji wake na watengeneze ajira mnapinga na kusema nchi inauzwa.Kuna watu wanajiona ni bora zaidi ya wengine wote bila kujua kuwa elimu yetu ndiyo tunu pekee ya kuongoza taifa letu.
Wanasiasa mnapojifanya hamuoni tatizo la ajira kwa vijana wetu mjiandae kuondolewa ofsini. Kama mnahisi kuwa mpo bora zaidi mnajidanganya.
Kununua magari yenu pesa zipo, kujenga nyumba zenu pesa zipo ila kununua vitabu pesa hakuna, kununua madawa hospital pesa hakuna, kuchonga madawati pesa hakuna. Endeleeni tu kuwa vipofu.
THE LOST, lost and gone in air.
Mkuu endelea kuwadharau hao vijana unaowaita wapuuzi. Uliwahi kuona maandamano ya kupinga bandari ya Bagamoyo? uliwahi kuoneshwa mkataba wake?Wapuuzi nyie mnalalamikia ajira kwa vijana alafu watu wakipanga miradi mikubwa ya kutengeneza ajira Kwa mamilioni kama Bandari ya Bagamoyo na mtu akihangaika kufungua milango ya Tanzania ili wawekezaji wake na watengeneze ajira mnapinga na kusema nchi inauzwa.
Hamna akili nyie mmekaa na wivu , chuki, husda na mawazo ya kimasikini na kijamaa tu!
Nyie endeleeni na tantalila sijui mkataba, we ulivyokuwa unapinga mkataba uliuona?Mkuu endelea kuwadharau hao vijana unaowaita wapuuzi. Uliwahi kuona maandamano ya kupinga bandari ya Bagamoyo? uliwahi kuoneshwa mkataba wake?
Unafiki na chuki vimewajaa ,wakati wa Magu yalikuwa yanasifia na kutetea kila kitu,sasa mirija imekatwa ni mwendo wa kulia na mikwaraMbona kwenye awamu ya 5 hukuyauliza haya maswali yako ?
Mbona kwenye awamu ya 5 hukuwaonya wana siasa?
Tulieni sawa sawia ili sindano iwaingie vyema mwilini kusudi mpone maradhi yenu hayo ya kibaguzi.
Mlipanda mbegu za ubaguzi kwa kutegemea mnawakomoa baadhi ya watanzania, kumbe sasa kibao kimewageuka mmeanza kulia lia.
Wanasahau kuwa kila masika na mbu wake.Unafiki na chuki vimewajaa ,wakati wa Magu yalikuwa yanasifia na kutetea kila kitu,sasa mirija imekatwa ni mwendo wa kulia na mikwara
Kwahio unampiga biti mtu mwenye mrija wa pesa😜Kuna watu wanajiona ni bora zaidi ya wengine wote bila kujua kuwa elimu yetu ndiyo tunu pekee ya kuongoza taifa letu.
Wanasiasa mnapojifanya hamuoni tatizo la ajira kwa vijana wetu mjiandae kuondolewa ofsini. Kama mnahisi kuwa mpo bora zaidi mnajidanganya.
Kununua magari yenu pesa zipo, kujenga nyumba zenu pesa zipo ila kununua vitabu pesa hakuna, kununua madawa hospital pesa hakuna, kuchonga madawati pesa hakuna. Endeleeni tu kuwa vipofu.
THE LOST, lost and gone in air.
Kweli kabisaMbona kwenye awamu ya 5 hukuyauliza haya maswali yako ?
Mbona kwenye awamu ya 5 hukuwaonya wana siasa?
Tulieni sawa sawia ili sindano iwaingie vyema mwilini kusudi mpone maradhi yenu hayo ya kibaguzi.
Mlipanda mbegu za ubaguzi kwa kutegemea mnawakomoa baadhi ya watanzania, kumbe sasa kibao kimewageuka mmeanza kulia lia.