Wanasiasa nawaonya kwa mara ya kwanza. Hili Taifa ni mali ya watanzania na si mali yenu

CCM lazima wakuite wewe ni uchochezi...unachochea wananchi waichukia serikali yao...ambapo kwao ni kosa kisheria.
 
Dawa ni kuwapunguza wale wanaojifungia Dodoma kwa kisingizio cha kutusemea kwa serikali, wakati serikali ina wawakilishi wake kila Mkoa, kila Wilaya, kodi zetu ndizo wanafanyia anasa badala ya fedha hiyo kwenda kwenye mambo ya msingi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ungekuwa karibu ningekulamba hata kofi.....
Jiwe Alikuwa Anasema
Unamzaba Kibao 😆😅😄😃😂😁😀
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Very reasonable comment.
 
Hizi tawala zimekuwa za wazee kupeana ulaji ili waendelee kusinzia vizuri wakisubiri siku zao, ni muda mwafaka kwa vijana kushika hatamu....kuanzisha chama kitakachopitisha mgombea kijana (below 55) ambaye akiingia atateua watendaji na viongozi vijana.....wazee wabaki kwenye nafasi za ushauri....
 
Tanzania tunahitaji Raisi mwenye tafsiri sahihi kuhusu maisha!!je maisha yanahitaji nini zaidi?je ni hayo magari?majumba makubwa?au ni kitu gani????Maisha ni kuridhika ukiridhika utawatumikia watu vizuri!!!wizi,ufisadi na rushwa ni matokeo ya kutoridhika!!!Hamjachelewa fanyeni maamuzi sahihi!!wakati wenu ni sasa!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ungekuwa karibu ningekulamba hata kofi.....
Nilifikiri ungemtwanga konzi nzito!😅

Everyday is Saturday................................😎
 
kuombana kura huwa tunawajali sana na kuwapenda
Kura yenyee ni utaratibu tu Ila kurudi kwao ni kawaida. Then wanaimiza watu wawe wabunifuu vijana wafanye kazi na kuwa na udhubutu .🤓
 
Kura yenyee ni utaratibu tu Ila kurudi kwao ni kawaida. Then wanaimiza watu wawe wabunifuu vijana wafanye kazi na kuwa na udhubutu .🤓
Tuongeze ubunifu na uzalendo, na wanasema vijana wa siku hizi ni wavivu hawajitumi wajiajiri nchi ina fursa nyingi🤣
 
Kuna kikundi cha watu wachache wahuni ndiyo wanafaidi keki ya Taifa. Hawa wahuni hawafiki hata 5,000
Mahitaji yao yooteee yanatimizwa on time.

Wabunge wakimaliza tuu ubunge wanalipwa chao chap chap.

Akina sie kajamba nani sasa, utasaga makalio PSSSF/NSSF mpaka ukome.
 
Kiongozi aliyekuwa anaishi falsafa zake ni Nyerere tu, baasi.....waliofuatia na wateule wao ni upigaji kwenda mbele, hawana falsafa yoyote kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi na wananchi.
 
Kiongozi aliyekuwa anaishi falsafa zake ni Nyerere tu, baasi.....waliofuatia na wateule wao ni upigaji kwenda mbele, hawana falsafa yoyote kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi na wananchi.
Mkuu hata we ukipata channel utapiga tu
Dunia ya leo hakuna anayetaka kuwa nyuma

Ova
 
Mkuu hata we ukipata channel utapiga tu
Dunia ya leo hakuna anayetaka kuwa nyuma

Ova
Sasa unakuwaje kiongozi wa watu kama upo kwa ajili ya maslahi yako binafsi, usishirikishe kila mtu kwenye mawazo ya wizi na ubinafsi...
 
Sasa unakuwaje kiongozi wa watu kama upo kwa ajili ya maslahi yako binafsi, usishirikishe kila mtu kwenye mawazo ya wizi na ubinafsi...
Sawa....
Ngj upate channel lzm upige
Binafsi mm nikipata nafasi nawasha tu
Maslahi yangu kwanza mengine badaye
Sema nacheza kwa step

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…