CCM lazima wakuite wewe ni uchochezi...unachochea wananchi waichukia serikali yao...ambapo kwao ni kosa kisheria.Kuna watu wanajiona ni bora zaidi ya wengine wote bila kujua kuwa elimu yetu ndiyo tunu pekee ya kuongoza taifa letu.
Wanasiasa mnapojifanya hamuoni tatizo la ajira kwa vijana wetu mjiandae kuondolewa ofsini. Kama mnahisi kuwa mpo bora zaidi mnajidanganya.
Kununua magari yenu pesa zipo, kujenga nyumba zenu pesa zipo ila kununua vitabu pesa hakuna, kununua madawa hospital pesa hakuna, kuchonga madawati pesa hakuna. Endeleeni tu kuwa vipofu.
THE LOST, lost and gone in air.
Ni Kama mwendazake zake,alijaza ndugu na kabila lake.Tena Mama Samia kila siku anawateua wao na watoto wao kwakweli mama unafeli hapa
Dawa ni kuwapunguza wale wanaojifungia Dodoma kwa kisingizio cha kutusemea kwa serikali, wakati serikali ina wawakilishi wake kila Mkoa, kila Wilaya, kodi zetu ndizo wanafanyia anasa badala ya fedha hiyo kwenda kwenye mambo ya msingiWanasiasa mnapojifanya hamuoni tatizo la ajira kwa vijana wetu mjiandae kuondolewa ofsini. Kama mnahisi kuwa mpo bora zaidi mnajidanganya.
Kununua magari yenu pesa zipo, kujenga nyumba zenu pesa zipo ila kununua vitabu pesa hakuna, kununua madawa hospital pesa hakuna, kuchonga madawati pesa hakuna. Endeleeni tu kuwa vipofu.
Jiwe Alikuwa Anasema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ungekuwa karibu ningekulamba hata kofi.....
Very reasonable comment.Mkuu hakika haupo sawa kichwani! Wewe umeanza kunifatilia leo naona. Kwa taarifa yako nilimkosoa Magufuli akiwa hai na kamwe siwezi kumkosoa akiwa mfu. Kuwa na heshima, hata kama ningekuwa upande wa Magufuli bado hakunizuii kuwanyoshea kidole wanasiasa wa leo maana wote ni walewale wa mwendazake.
Nilifikiri ungemtwanga konzi nzito!😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ungekuwa karibu ningekulamba hata kofi.....
Kura yenyee ni utaratibu tu Ila kurudi kwao ni kawaida. Then wanaimiza watu wawe wabunifuu vijana wafanye kazi na kuwa na udhubutu .🤓kuombana kura huwa tunawajali sana na kuwapenda
Mkuu huu ndio ukweli mchungu🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ungekuwa karibu ningekulamba hata kofi.....
Tuongeze ubunifu na uzalendo, na wanasema vijana wa siku hizi ni wavivu hawajitumi wajiajiri nchi ina fursa nyingi🤣Kura yenyee ni utaratibu tu Ila kurudi kwao ni kawaida. Then wanaimiza watu wawe wabunifuu vijana wafanye kazi na kuwa na udhubutu .🤓
Mahitaji yao yooteee yanatimizwa on time.
Wabunge wakimaliza tuu ubunge wanalipwa chao chap chap.
Akina sie kajamba nani sasa, utasaga makalio PSSSF/NSSF mpaka ukome.
Kiongozi aliyekuwa anaishi falsafa zake ni Nyerere tu, baasi.....waliofuatia na wateule wao ni upigaji kwenda mbele, hawana falsafa yoyote kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi na wananchi.Tanzania tunahitaji Raisi mwenye tafsiri sahihi kuhusu maisha!!je maisha yanahitaji nini zaidi?je ni hayo magari?majumba makubwa?au ni kitu gani????Maisha ni kuridhika ukiridhika utawatumikia watu vizuri!!!wizi,ufisadi na rushwa ni matokeo ya kutoridhika!!!Hamjachelewa fanyeni maamuzi sahihi!!wakati wenu ni sasa!!
Mkuu hata we ukipata channel utapiga tuKiongozi aliyekuwa anaishi falsafa zake ni Nyerere tu, baasi.....waliofuatia na wateule wao ni upigaji kwenda mbele, hawana falsafa yoyote kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi na wananchi.
Sasa unakuwaje kiongozi wa watu kama upo kwa ajili ya maslahi yako binafsi, usishirikishe kila mtu kwenye mawazo ya wizi na ubinafsi...Mkuu hata we ukipata channel utapiga tu
Dunia ya leo hakuna anayetaka kuwa nyuma
Ova
Sawa....Sasa unakuwaje kiongozi wa watu kama upo kwa ajili ya maslahi yako binafsi, usishirikishe kila mtu kwenye mawazo ya wizi na ubinafsi...