Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Unajiuliza waliwezaje kupokea pesa za Covid-19 na kudai wanazipeleka kwenye kujenga madarasa mengine wanaweka na tiles na ac?
Wanaacha watoto wadogo wanakufa kwa kukosa matibabu na bima inasitishwa kwa madai kuwa michango haitoshi. Lakini hawa wanasiasa wananunuliana magari ya kifahari sana kwa pesa za hawa maskini ambao wameachwa wafe kama panya.
Shetani kazi yake ni kuua na kuharibu. Siku zote. Na ndicho ambacho tuna ona kwa watu maskini. Wao wanaachwa wafe. Watoto wao nao wanakosa matibabu. Ila wanasiasa hawa wanapata matibabu kwa pesa za maskini hawa ambazo wananyonywa.
Mnapewa misaada kupitia Watanzania kisha mnagawana pesa na kuwaacha Watanzania wafe.
Wanaacha watoto wadogo wanakufa kwa kukosa matibabu na bima inasitishwa kwa madai kuwa michango haitoshi. Lakini hawa wanasiasa wananunuliana magari ya kifahari sana kwa pesa za hawa maskini ambao wameachwa wafe kama panya.
Shetani kazi yake ni kuua na kuharibu. Siku zote. Na ndicho ambacho tuna ona kwa watu maskini. Wao wanaachwa wafe. Watoto wao nao wanakosa matibabu. Ila wanasiasa hawa wanapata matibabu kwa pesa za maskini hawa ambazo wananyonywa.
Mnapewa misaada kupitia Watanzania kisha mnagawana pesa na kuwaacha Watanzania wafe.