Wanasiasa wa Kenya wengi ni watoto wa wapigania uhuru lakini Tanzania ni watoto wa wakulima, wafugaji na Chadema wafanyabiashara

Wanasiasa wa Kenya wengi ni watoto wa wapigania uhuru lakini Tanzania ni watoto wa wakulima, wafugaji na Chadema wafanyabiashara

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nilikuwa nasoma historia za wanasiasa wa Kenya akina Mudavadi, Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila na wengine wengi nimeona 95% ni watoto wa wapigania Uhuru. Yaani wana ile spirit ya siasa.

Nikarudi hapa nyumbani kwa wakina Mwigulu, Mbowe, Tundu Lissu, Zitto, Nape, January na wengine wengi nimegundua 95% ni watoto wa wakulima, wafugaji, wawindaji na wafanyabiashara ambao spirit zao ziko zaidi kwenye kusaka fursa na siasa ni kama ngazi tu ya kufikia malengo yao.

Niwatakie nyote Heri ya Mwaka Mpya 2020

Maendeleo hayana vyama!
 
Chadema wana akili nyingi ni matajiri na wafanyabiashara tofauti na ccm masikini wakulima, wajamaa

tukiendeleza hizi itikadi mbili huko mbeleni siasa zetu zitanoga, tutakuwa kama amerika, rebublicans vs demokrats
 
Nina uhakika zaidi ya 95% ya wanasiasa wa bongo hawana uwezo wa kufanya lolote nje ya ajira ya siasa waliyonayo...
Vilaza wa kutupwa. ....
Kwa hili pekee namuheshimu sana Nyalandu Lazaro. ..
 
Binadamu huathiriwa sana na mazingira aliyokulia. Hii ndiyo inayochangia ukweli ufuatao kwa Tanzania:

1) Viongozi wengi wa Tanzania hawana uwezo wa kuongoza, hawana maono ya kuweza kujenga uchumi

2) Hakuna shirika wala kampuni hata moja ya serikali inayoendeshwa kwa faida

3) Wahindi na waarabu wengi ndiyo wafanyabiashara na ndiyo wanaomiliki viwanda

4) Kwa waswahili, wafanyabiashara wengi ni waislam

5) Wafanyakazi wengi ni wakristo

Taifa letu linayumba sana kiuchumi kwa kuamini kuwa sifa kubwa ya kuwa kiongozi ni kuwa mwanaCCM, chama ambacho kina uzoefu wa miaka mingi wa kuwafanya watu kuwa maskini.
 
Uwe una linganisha city/watu wanao/vinavyofanana hao wanasiasa wa Kenya uliwataja wameshika nafasi za uraisi,makamu was rais, na mawaziri wakuu.

Huku wanasiasa wa Tanzania ulio tumia kama mlinganisho vyeo vyao vya mwisho in uwaziri.
 
Chadema wana akili nyingi ni matajiri na wafanyabiashara tofauti na ccm masikini wakulima, wajamaa

tukiendeleza hizi itikadi mbili huko mbeleni siasa zetu zitanoga, tutakuwa kama amerika, rebublicans vs demokrats
CCM ni wajamaa?
 
Uwe una linganisha city/watu wanao/vinavyofanana hao wanasiasa wa Kenya uliwataja wameshika nafasi za uraisi,makamu was rais, na mawaziri wakuu.

Huku wanasiasa wa Tanzania ulio tumia kama mlinganisho vyeo vyao vya mwisho in uwaziri.
Sijalinganisha nimetoa mfano!.......nikasema na wengine wengi na wewe bwashee ukiwemo!
 
Nina uhakika zaidi ya 95% ya wanasiasa wa bongo hawana uwezo wa kufanya lolote nje ya ajira ya siasa waliyonayo...
Vilaza wa kutupwa. ....
Kwa hili pekee namuheshimu sana Nyalandu Lazaro. ..
Huyo Lazaro kafanya nini?

Au unamaanisha Rostam Aziz!
 
Nilikuwa nasoma historia za wanasiasa wa Kenya akina Mudavadi, Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila na wengine wengi nimeona 95% ni watoto wa wapigania Uhuru. Yaani wana ile spirit ya siasa.

Nikarudi hapa nyumbani kwa wakina Mwigulu, Mbowe, Tundu Lissu, Zitto, Nape, January na wengine wengi nimegundua 95% ni watoto wa wakulima, wafugaji, wawindaji na wafanyabiashara ambao spirit zao ziko zaidi kwenye kusaka fursa na siasa ni kama ngazi tu ya kufikia malengo yao.

Niwatakie nyote Heri ya Mwaka Mpya 2020

Maendeleo hayana vyama!
Kuna Tanzania na kuna Chadema! Anayekukuna vizuri ma...lio utamuwewesekea kila wakati.
Sasa ba...ha kumtengea jamuhuri yake ndani ya jamuhuri tukueleweje! Ndiyo mahaba yamekuchanganya?
 
Nilikuwa nasoma historia za wanasiasa wa Kenya akina Mudavadi, Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila na wengine wengi nimeona 95% ni watoto wa wapigania Uhuru. Yaani wana ile spirit ya siasa.

Nikarudi hapa nyumbani kwa wakina Mwigulu, Mbowe, Tundu Lissu, Zitto, Nape, January na wengine wengi nimegundua 95% ni watoto wa wakulima, wafugaji, wawindaji na wafanyabiashara ambao spirit zao ziko zaidi kwenye kusaka fursa na siasa ni kama ngazi tu ya kufikia malengo yao.

Niwatakie nyote Heri ya Mwaka Mpya 2020

Maendeleo hayana vyama!
Naskia hata jiwe baba yake alikua mpigania uhuru wa chato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Tanzania na kuna Chadema! Anayekukuna vizuri ma...lio utamuwewesekea kila wakati.
Sasa ba...ha kumtengea jamuhuri yake ndani ya jamuhuri tukueleweje! Ndiyo mahaba yamekuchanganya?
Nyoosha sentensi manka au ndio umevaa ile jamii ya pampas!!!
 
Wote CCM na CHADEMA na wanasiasa wengi kwa ujumla wao wamekulia maisha ya shida sana, kiasi kwamba hata uwezo wa kufikiri ni mdogo sana, ndio maana wengi ni wapigaji na hawana manufaa kwa Taifa, hata awe msomi vipi, yale maisha ya utoto na ujana aliyokulia ndio yanayo mwongoza...."kumbuka umetoka familia maskini piga pesa saida familia yako na ukoo wako, ikiwezekana na kabila lako"...
 
Nyoosha sentensi manka au ndio umevaa ile jamii ya pampas!!!
Wewe mpaka Chadema kuwatengea jamuhuri ndani ya jamuhuri wamekukuna sehemu ipi ya mwili wako kama si ma....lio. Unalinganisha Kenya, Tanzania na Chadema! Wewe si bure! Si ridhiki.
 
Wewe mpaka Chadema kuwatengea jamuhuri ndani ya jamuhuri wamekukuna sehemu ipi ya mwili wako kama si ma....lio. Unalinganisha Kenya, Tanzania na Chadema! Wewe si bure! Si ridhiki.
Muulize mama elvischirwa matembele anayachumaje akiwa na Yohana!
 
Back
Top Bottom