Wanasiasa wa Kenya wengi ni watoto wa wapigania uhuru lakini Tanzania ni watoto wa wakulima, wafugaji na Chadema wafanyabiashara

Wanasiasa wa Kenya wengi ni watoto wa wapigania uhuru lakini Tanzania ni watoto wa wakulima, wafugaji na Chadema wafanyabiashara

Nilikuwa nasoma historia za wanasiasa wa Kenya akina Mudavadi, Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila na wengine wengi nimeona 95% ni watoto wa wapigania Uhuru. Yaani wana ile spirit ya siasa.

Nikarudi hapa nyumbani kwa wakina Mwigulu, Mbowe, Tundu Lissu, Zitto, Nape, January na wengine wengi nimegundua 95% ni watoto wa wakulima, wafugaji, wawindaji na wafanyabiashara ambao spirit zao ziko zaidi kwenye kusaka fursa na siasa ni kama ngazi tu ya kufikia malengo yao.

Niwatakie nyote Heri ya Mwaka Mpya 2020

Maendeleo hayana vyama!
Tanzania hatukupigania uhuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nasoma historia za wanasiasa wa Kenya akina Mudavadi, Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila na wengine wengi nimeona 95% ni watoto wa wapigania Uhuru. Yaani wana ile spirit ya siasa.

Nikarudi hapa nyumbani kwa wakina Mwigulu, Mbowe, Tundu Lissu, Zitto, Nape, January na wengine wengi nimegundua 95% ni watoto wa wakulima, wafugaji, wawindaji na wafanyabiashara ambao spirit zao ziko zaidi kwenye kusaka fursa na siasa ni kama ngazi tu ya kufikia malengo yao.

Niwatakie nyote Heri ya Mwaka Mpya 2020

Maendeleo hayana vyama!
Baadhi ya watoto wa wakubwa wamegeuka kuwa maadui wa mfumo uliowalea.

Jukwaa lao ni twitter.
 
Uwe una linganisha city/watu wanao/vinavyofanana hao wanasiasa wa Kenya uliwataja wameshika nafasi za uraisi,makamu was rais, na mawaziri wakuu.

Huku wanasiasa wa Tanzania ulio tumia kama mlinganisho vyeo vyao vya mwisho in uwaziri.
Twende sawa:

Tuanze na Benjamin Mkapa background yake na familia yake (uzuri na kwenye kitabu chake amesema)

Tuje kwa ndugu Kikwete tupete political background ya familia yake

Halafu tumalize na muheshimiwa aliyeko madarakani sasa

Nadhani hao ndo uliowalenga! Ukimaliza hao ndo uje kwa wagombea wengine kama kina Lipumba, Cheyo, Mbowe, Slaa, Hashim na wengine unaowafahamu.

Wana relate na wapigania Uhuru? Je, ni asilimia ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom