Tanzania hatukupigania uhuruNilikuwa nasoma historia za wanasiasa wa Kenya akina Mudavadi, Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila na wengine wengi nimeona 95% ni watoto wa wapigania Uhuru. Yaani wana ile spirit ya siasa.
Nikarudi hapa nyumbani kwa wakina Mwigulu, Mbowe, Tundu Lissu, Zitto, Nape, January na wengine wengi nimegundua 95% ni watoto wa wakulima, wafugaji, wawindaji na wafanyabiashara ambao spirit zao ziko zaidi kwenye kusaka fursa na siasa ni kama ngazi tu ya kufikia malengo yao.
Niwatakie nyote Heri ya Mwaka Mpya 2020
Maendeleo hayana vyama!
Kama unavyoyachuma wewe ukiwa na Wanachadema matokeo yake unaweweseka kutwa mzima.Muulize mama elvischirwa matembele anayachumaje akiwa na Yohana!
Ameshakueleza mwanae........sasa usitoe siri!Kama unavyoyachuma wewe ukiwa na Wanachadema matokeo yake unaweweseka kutwa mzima.
Baadhi ya watoto wa wakubwa wamegeuka kuwa maadui wa mfumo uliowalea.Nilikuwa nasoma historia za wanasiasa wa Kenya akina Mudavadi, Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila na wengine wengi nimeona 95% ni watoto wa wapigania Uhuru. Yaani wana ile spirit ya siasa.
Nikarudi hapa nyumbani kwa wakina Mwigulu, Mbowe, Tundu Lissu, Zitto, Nape, January na wengine wengi nimegundua 95% ni watoto wa wakulima, wafugaji, wawindaji na wafanyabiashara ambao spirit zao ziko zaidi kwenye kusaka fursa na siasa ni kama ngazi tu ya kufikia malengo yao.
Niwatakie nyote Heri ya Mwaka Mpya 2020
Maendeleo hayana vyama!
Twende sawa:Uwe una linganisha city/watu wanao/vinavyofanana hao wanasiasa wa Kenya uliwataja wameshika nafasi za uraisi,makamu was rais, na mawaziri wakuu.
Huku wanasiasa wa Tanzania ulio tumia kama mlinganisho vyeo vyao vya mwisho in uwaziri.