Wanasiasa wameingia rasmi kwenye mwaka wa harambee kwenye nyumba za Ibada; viongozi wa dini changamkieni fursa

Wanasiasa wameingia rasmi kwenye mwaka wa harambee kwenye nyumba za Ibada; viongozi wa dini changamkieni fursa

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Tupo kwenye mwaka mmoja na nusu ambapo kamati za miradi na ujenzi za makanisa na misikiti zinapanga mipango mingi ya kukusanya fedha kwa wanasiasa

Ni kipindi ambacho taasisi za dini uacha kuangalia uchafu wa fedha na kupima vyanzo vya fedha husika. Ni kipindi cha wanasiasa kupokea mialiko mingi yakichangia harambee.

Je, vyama vya upinzani vimetenga bajeti ya kazi hii kama chama tawala? Wananchi wengi ni waumini wa dini na nyumba za ibada zinakwenda kutumika kama majukwaa ya kampeni. Je, upinzani mnakwenda kutumia mbinu gani kunusuru watanzania maskini wasimezwe kwenye siasa zinazoongozwa na viongozi wao wa dini?

Tumeanza kusikia watabiri na siku zote utabiri wao haujawahi kupingana na wishes za chama tawala......mtafanyaje kudhibiti rushwa ya imani kutumika kuomba kura?
 
Wanasiasa na viongozi wa dini ni partners in crime tangu enzi za manabii.

Tena bora sasa hivi zamani dini liunganishwa na dola kuwa kitu kimoja.

Kama unavyoona Islamic state wamepitwa na wakati hayo mambo ya dola za kidini yalipota miaka mingi nyuma.

Inshort wanasiasa na viongozi wa dini ni kitu kimoja.

Muangalie Samia popote aendapo Tanzania kabla ya kuhutubia hawa vibaraka waonlazima wafunguwa kwa dua, kwenye nchi zilizostaarabika huo upumbavu hakuna.
 
Misikiti sio kweli misikitini hailetwi siasa kabisa usichanganye madiili za dini kanisa ndio kituo cha siasa sio msikiti mda wa siasa msikitini hakuna unaingia unasali unasepa mtu akiongea siasa msikitini atapigwa au atatolewa kwa nguvu sisi siasa zetu ni kuwaamrisha watu wamjue mungu mmoja tu
 
Back
Top Bottom