The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Huu ni msimu wa siasa za uchaguzi. Ni katika msimu kama huu kunakuwa na maamuzi mengi ya jazba na mihemko kukomoana na visasi.
Hali hiyo hupelekea baadhi ya watu kuhama vyama na kujaribu kkukimbilia mahali ambako atapata jukwaa na wakati mwingine akilikosa Hilo jukwaa huanza kuleta nongwa nyingi nyingi.
Mimi napenda sana uhuru wa kisiasa yaani mtu afanye tathimini na kuona ni sera zipi zinafaa kupata uongozi wa kulifikisha taifa kwenye ndoto yake.
Hali hiyo hupelekea baadhi ya watu kuhama vyama na kujaribu kkukimbilia mahali ambako atapata jukwaa na wakati mwingine akilikosa Hilo jukwaa huanza kuleta nongwa nyingi nyingi.
Mimi napenda sana uhuru wa kisiasa yaani mtu afanye tathimini na kuona ni sera zipi zinafaa kupata uongozi wa kulifikisha taifa kwenye ndoto yake.