Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,221
- 2,359
Hatua iliyofikia ya mchakato wa kipata Katiba mpya si hatua ya wananchi kushirikishwa tena bali ni hatua ya kuwakilishwa.
Wanasiasa ili kuungwa mkono wanatudangaya tuingie ktk migongano ya kudai serikali kutushirikisha hali kuwa wakijua nafasi hiyo imeshapita ktk mchakato wa awali wa Tume ya Katiba kupokea maoni ya Wananchi.
Kwa bahati mbaya hao wanaotuwakilisha sasa (Wanasiasa, viongozi wa dini na NGOs) wakati wa mchakato wa awali wako waliojaribu kuwalisha wananchi nini cha kuongea, wako waliowatisha wananchi wasijitokeze mbele ya tume kwamba haiaminiki. Leo wanajaribu kututumia kuwa tunaougomea mchakato ni wananchi ati hatujashirikishwa!!
Huu ni uhuni Tulishatoa maoni na rasimu ya kwanza ya maoni yetu imesha toka nasasa rasimu ya marekebisho yatokanayo na mabaraza ya katiba inaandaliwa wananchi hatuna nafasi tena. Tunasubiri bunge la Katiba (Watuwakiliahw) watumalizie kazi
Wanasiasa ili kuungwa mkono wanatudangaya tuingie ktk migongano ya kudai serikali kutushirikisha hali kuwa wakijua nafasi hiyo imeshapita ktk mchakato wa awali wa Tume ya Katiba kupokea maoni ya Wananchi.
Kwa bahati mbaya hao wanaotuwakilisha sasa (Wanasiasa, viongozi wa dini na NGOs) wakati wa mchakato wa awali wako waliojaribu kuwalisha wananchi nini cha kuongea, wako waliowatisha wananchi wasijitokeze mbele ya tume kwamba haiaminiki. Leo wanajaribu kututumia kuwa tunaougomea mchakato ni wananchi ati hatujashirikishwa!!
Huu ni uhuni Tulishatoa maoni na rasimu ya kwanza ya maoni yetu imesha toka nasasa rasimu ya marekebisho yatokanayo na mabaraza ya katiba inaandaliwa wananchi hatuna nafasi tena. Tunasubiri bunge la Katiba (Watuwakiliahw) watumalizie kazi