johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Pwani ya Tanzania ambayo inategemewa na nchi zaidi ya 6 za Africa ni zaidi ya Bandari.
Nguvu ya Bandari ya Dar es Salaam iko kwenye Uchumi wa nchi, Usalama wa nchi na Siasa za nchi kwa majirani wanaotuamini kupitisha Mizigo ya nchi zao.
Tunapojadili uwekezaji wowote wa Bandari, uzalendo hutangulizwa na watu lazima waangalie nchi siyo vyama.
Mungu wa mbinguni awe nanyi!
Nguvu ya Bandari ya Dar es Salaam iko kwenye Uchumi wa nchi, Usalama wa nchi na Siasa za nchi kwa majirani wanaotuamini kupitisha Mizigo ya nchi zao.
Tunapojadili uwekezaji wowote wa Bandari, uzalendo hutangulizwa na watu lazima waangalie nchi siyo vyama.
Mungu wa mbinguni awe nanyi!