Serious???Wanalipwa mishahara ya ubunge kwingine wanajitolea mkuu.
Ulishawahi kusikia "kushikilia mshahara wa Waziri" bungeni?Wanalipwa mishahara ya ubunge kwingine wanajitolea mkuu.
Ndio mkuu. Na wengine watakuja kusema humuSerious???
Hapana, hiyo ikoje mkuu?Ulishawahi kusikia "kushikilia mshahara wa Waziri" bungeni?
kumbe ndio maana wakiachishwa uwaziri wanakuwa wanyonge sana!Waziri analipwa posho mbalimbali ambazo ukizijimlisha ni karibia double ya mshahara wa ubunge.
Prof Ndalichakekumbe ndio maana wakiachishwa uwaziri wanakuwa wanyonge sana!
Hara mimi bado!kiukweli, bado sijapata jibu la swali lililoulizwa.
Jesus is Lord