Ila ni mzuriii angepungua tuEti nini..deal gani [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] wakati hizo deal ni zilizokua biashara za mumewe...jumbo camera house...mashamba..nk
Uzuri wao mnauju aje jamani au ndio kukosa hoja za kuandika huku J.f.
Ni Mrundi.Hivi mke wa Daudi Bashite ni kabila gani?
kwani kuna ubaya mkuu??...id + avi = walewale!
Uhamiaji imchunguze.Ni Mrundi.
Ni mnyakyusa?Umemuona mara ya mwsho lini...
Sasa hivi kanenepa kawa mbaaaya...na hivi hana shepu.
Mh sura imejaa km nini
Better alivyokuwa kimodo ...
By the way mwanamke kunnenepa baada ya kufa mumewe ina ashiria nn..[emoji12] [emoji12]
Mke wa Aminiel Mahimbo.Josephine ni hawars wa Dr Slaa, ukumbuke Josephine ni mke wa mtu wa ndoa tena ya kanisani na Padre Slaa anafahamu vyema taratibu za ndoa ya kanisani.
Insta anatumia jina gani?Nadhani anawaza sana,,,nishaona hata mi hilo yaan anaweka picha za maneno ya huzuni tu
Mu-IraqwNi mnyakyusa?
Ameshaolewa?Mu-Iraqw
NkipalInsta anatumia jina gani?
Yeah ni mzuri kwa kweliIla ni mzuriii angepungua tu
jibu naona ushapataNi mnyakyusa?
Hahahha serengeti boy wanatumiaAmeshaolewa?
"Mwenye afya haitaji tabibu," Jesus once said.Utakua na MATATIZO ya AKILI sio bure, sasa ulitaka wadada wasichangie au? Na mbona sioni sehemu ambayo wadada wameonyesha chukizo juu ya huu Uzi wa kusifia wanaoonekana kua na sifa!!?
...hakuna ubaya miss,chillax!kwani kuna ubaya mkuu??