makundushi
Senior Member
- Feb 12, 2014
- 152
- 124
Tupiamo na kapicha basiSi utani mke wa Daudi Bashite ni kifaa tena ana black beauty ile natural.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupiamo na kapicha basiSi utani mke wa Daudi Bashite ni kifaa tena ana black beauty ile natural.
wa kawaida sana faraja kotaWa yule jamaa wa singida? Yule alowahi kuwa miss unamuonaje mkuu!!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Daa mkuu basi wewe utakuwa upo vizuri sana. Mpaka umenitamanisha nikuone. Naomba bas pichako pmwa kawaida sana faraja kota
Km Michelle Obama!!!!
sana tu@bonny tell him how do I look like...?!!Daa mkuu basi wewe utakuwa upo vizuri sana. Mpaka umenitamanisha nikuone. Naomba bas pichako pm
Picha ingesema mengi zaidisana tu@bonny tell him how do I look like...?!!
Picha ingesema mengi zaidi
Wow! Uko poa. Haya hebu geuka tuone tumbo!!
fine then karibu...hakuna ubaya miss,chillax!
Msambwanda huo jamani,utaniua bure we mdada
Huu ulokole huu [emoji23] [emoji23] hatari tupu, ila usinisomee Alhabadiri ya kilokole mkuu, sikuchokozi tena nisamehe sana!!"Mwenye afya haitaji tabibu," Jesus once said.
He then said, "Akupigaye shavu la kushoto, mgeuzie na la kulia."
Niliyoyazungumza, nimeyazungumza baada ya kusoma comments. Huenda wewe hukuwa miongoni mwa hao waliosema hayo.
Sitafuti "cheap sympathy" kutoka kwako kwa niliyoandika hata baada ya kuniambia nina "matatizo ya akili." BALI ni kwa sababu nimelelewa na kuikulia "MISINGI" hii.
Sitajibu tusi, kejeli, au vinginevyo. Sana sana namshukuru Mungu kwa kukutumia leo uwe kipimo changu cha hekima na uvumilivu then jioni nipate taji yangu ya ushindi.
"Angalieni mtu awaye yote asimlipe mwenziwe mabaya kwa mabaya; bali siku zote lifuateni lililo jema, ninyi kwa ninyi na kwa watu wote." 1 Wathesalonike 5:15
Unamaanisha wa kule kolomije?Vipi wa bar..shee teee yupoje
Zitto anaongozaWa makonda mzuri
Mama salma mke wa jk mzuri
Mke wa pinda mzuri
Mke wa mbowe mzuri
Josephine slaa mzuri
Alooo ni mzuri yule mwanamke, na anaonekana mpole kabisa.Vipi wa bar..shee teee yupoje
U...u...n..a unajua nimepata kigugumizi gafla
Kwan zito ni mke?Zitto anaongoza