Wanasiasa wote wa Kiume Wake zao wangekuwa wazuri kama wa Lema ingependeza sana

hii habari picha ni sawa tu na makondakta bila vyeti
 
Kila mwenye mke ni mzuri kwake pekee.wa meingine ntamuona wa kawaida na si zaidi ya wa kwangu,sasa mtoa mada sijui huna mke unatamani wa wengine au vipi hata sijaelewa ila nijuacho ni wa kawaida na hafikii kwa wa kwangu
 
Msifie wakwako acha kusifia wa mwenzie
 
Mke mzuri alikuwa wa Salmin Amour enzi zile kabla hawajaachana.Jimwanamke la kichaga jeupeeeee refu limejazia tamuuu.Likiingia uwanja wa taifa enzi hizo kwenye sikukuu za kitaifa daaah moto moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…