Wanasiasa wote wa Kiume Wake zao wangekuwa wazuri kama wa Lema ingependeza sana

Hivi wewe uzuri wa mke unajua wewe,unaoa housing,memory card au mpodoko
 
Kama sikosei mke wa Mbatia naye ni bomba sana. Mke wa Mtatiro naye ni bomba sana.
 
Mke mzuri huchaguliwa na m mungu kila mwenye mke wako ndio mzuri
 
Nadhani mleta mada alikuwa akimaanisha Mkwe mwenye kuvutia kimuonekano. Kwa kuwa uzuri wa mke anayejua ni mumewe tu.
 
Uzuri wa mke ni tabia wewe.....
Pia mwanamke mzuri ni mke wako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…