Bernie Fikiri
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 288
- 197
Umemuona mara ya mwsho lini...Mke wa marehemu deo filikunjombe ni hata ree we huwajui wote wake wa viongozi
Tatizo Ana deal zake ndo maana ungekuwa anamtegemea deo ndo ingekuwa tatizoUmemuona mara ya mwsho lini...
Sasa hivi kanenepa kawa mbaaaya...na hivi hana shepu.
Mh sura imejaa km nini
Better alivyokuwa kimodo ...
By the way mwanamke kunnenepa baada ya kufa mumewe ina ashiria nn..[emoji12] [emoji12]
Josephine ni hawars wa Dr Slaa, ukumbuke Josephine ni mke wa mtu wa ndoa tena ya kanisani na Padre Slaa anafahamu vyema taratibu za ndoa ya kanisani.Wa makonda mzuri
Mama salma mke wa jk mzuri
Mke wa pinda mzuri
Mke wa mbowe mzuri
Josephine slaa mzuri
Kumbuka kuna Mungu..Halafu naskia Bashite ana mke mgumba au Bashite mwenyewe ndo mgumba
Josephine ni hawars wa Dr Slaa, ukumbuke Josephine ni mke wa mtu wa ndoa tena ya kanisani na Padre Slaa anafahamu vyema taratibu za ndoa ya kanisani.
Josephine slaa????
Sio bureGENTAMYCINE UMEPATWA NA TATIZO GANI? NAHISI DISH LIMEYUMBA MAANA SIO KAWAIDA YAKO KUJA NA THREAD ZA AINA HII
Eti nini..deal gani [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] wakati hizo deal ni zilizokua biashara za mumewe...jumbo camera house...mashamba..nkUmemuona mara ya mwsho lini...
Sasa hivi kanenepa kawa mbaaaya...na hivi hana shepu.
Mh sura imejaa km nini
Better alivyokuwa kimodo ...
By the way mwanamke kunnenepa baada ya kufa mumewe ina ashiria nn..[emoji12] [emoji12]
Mkuu unamjua wa marehemu Filikunjombe?
Boraaa usemeTupieni na pic za wake zenu tuone sifa zao achaneni na wake za watu uzuri wao wanafahamu waume zao
Au la ni Muhaya, au huenda Wahaya na Wanyarwanda wanashahibiana sana.
Mods tutoleeni huh Uzi sio mahala pake humu
Uzuri wao mnauju aje jamani au ndio kukosa hoja za kuandika huku J.f.Wa makonda mzuri
Mama salma mke wa jk mzuri
Mke wa pinda mzuri
Mke wa mbowe mzuri
Josephine slaa mzuri
Lipumba ana mke??Mke mzur Tanzania ni yule wa lipumba tu!
Ni balaaaaaMkuu unamjua wa marehemu Filikunjombe?
Nadhani anawaza sana,,,nishaona hata mi hilo yaan anaweka picha za maneno ya huzuni tuBut the lady is always unhappy...picha zake zote huko insta hana tabasamu hata kidogo..yn anaonekana ni mtu mwenye mawazo..inaonyesha hata akipiga picha akili yake huwa haiko kwa picha...she is cute..kukosa mtoto kusimfanye ashindwe hata ku smile jamani...
Nashindwa kuelewa ulokole wake...neno linasema shukuruni kwa kila jambo....
Km kuna rafiki yake humu amwambie let her self smile....yy sio wa kwanza..