Wanasiasa (Zitto na Kitila) acheni kuingilia mambo ya mipira, Mnategemewa kuwa mfano katika kuheshimu mamlaka

Wanasiasa (Zitto na Kitila) acheni kuingilia mambo ya mipira, Mnategemewa kuwa mfano katika kuheshimu mamlaka

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Sakata la Manara tuwaachie TFF!
Walichokiamua wao sisi kama watazamaji tunatakiwa kuheshimu!
Kama kuna rufaa mwacheni mhusika mwenyewe!

Kuilaumu TFF ni ishara ya kupungukiwa hekima; Watu kama ZITTO sikutegemea kabisa waoneshe ujinga hadharani!
Kuna yule pia anajiita Prof. MKUMBO, huyu naye sikutegemea aanike ujinga wake namna hii ni mkumbo tu.

Mambo ya mipira yanaongozwa na kanuni na sheria!

Kanuni zikikiukwa ni lazima kanuni zitumike kuamua!
Mbona watu wasiyo na majina wakihukumiwa huwa hamsemi?
Au kanuni zimewekwa kwa baadhi ya watu hawatakiwi kuguswa?

Wanasiasa pelekeni ujinga wenu huko; Mnajitia mnajua kila kitu hapa duniani, Siasa nyinyi, Mambo ya dini nyinyi, mambo ya vita nyinyi, mapenzi nyinyi na sasa na mambo ya mipira mnajitia wasemaji?

Mlitaka ahukumiwe nani?
Kama Haji manara hakukosea Je aliomba radhi kitu gani?
Kama aliomba radhi maana yake alitenda kosa basi TFF wamemuwajisha kama kanuni inavyotaka!
Wanaosema kwanini KARIA Hakuitwa wanatakiwa wajue, nani kamfuata mwenzake kwenye tukio!..
Kibaka akikuvamia nyumbani kwako hata kama ulimjeruhi kwa kujihami bado mkosaji ni yule KIBAKA aliyekuja kuvamia!

Manara alivamia ndiyo maana kawajibishwa!

Mnaomshauri Manara akate Rufaa mnamjaza ujinga KULE NDIYO WATAMPIGA NYUNDO YA MIAKA 5 na faini juu!

Tena asipokaa sawa watashauriana na AZAM wampokonye kabisa hata king'amuzi ili asiangalie mpira wenyewe!

HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA! wanasiasa uchwara achaneni na mpira!

Ambao hamkumbuki ni kwamba TFF Ilishawahi kumfungia manara kwa miaka 7 , uongozi mpya wa kalia ulipoingia ukasikiliza rufaa yake wakamwachia!
 
Kwani wenyewe hawana haki ya kushabikia mpira?
 
Wanasiasa wanapenda sana kujitia kiherehere! Badala wapambanie unga ushuke wanatufuata kwenye mipira
Unga kushika ni kulima zaidi,kalime..siyo zitto kupiga kelele..unga hautoshuka mpaka may 2023,na hapo Hadi mvua ziwe nzuri
 
Unateseka na vitu vidogo mno.
Kwani wenyewe hawana haki ya kushabikia mpira?
Wanaonesha kudharau TFF, walitakiwa wawe mfano kuheshimu mamlaka, wao mbona huwa wanaonyana huko bungeni kwenye kamati za maadili!
Hakuna Uhuru usiokuwa na mipaka!
Hata kama wote tuko disco lakini ukibamba demu wa mtu kupigwa ni halali yako
 
Sakata la Manara tuwaachie TFF!
Walichokiamua wao sisi kama watazamaji tunatakiwa kuheshimu!
Kama kuna rufaa mwacheni mhusika mwenyewe!

Kuilaumu TFF ni ishara ya kupungukiwa hekima; Watu kama ZITTO sikutegemea kabisa waoneshe ujinga hadharani!
Kuna yule pia anajiita Prof. MKUMBO, huyu naye sikutegemea aanike ujinga wake namna hii ni mkumbo tu.

Mambo ya mipira yanaongozwa na kanuni na sheria!

Kanuni zikikiukwa ni lazima kanuni zitumike kuamua!
Mbona watu wasiyo na majina wakihukumiwa huwa hamsemi?
Au kanuni zimewekwa kwa baadhi ya watu hawatakiwi kuguswa?

Wanasiasa pelekeni ujinga wenu huko; Mnajitia mnajua kila kitu hapa duniani, Siasa nyinyi, Mambo ya dini nyinyi, mambo ya vita nyinyi, mapenzi nyinyi na sasa na mambo ya mipira mnajitia wasemaji?

Mlitaka ahukumiwe nani?
Kama Haji manara hakukosea Je aliomba radhi kitu gani?
Kama aliomba radhi maana yake alitenda kosa basi TFF wamemuwajisha kama kanuni inavyotaka!
Wanaosema kwanini KARIA Hakuitwa wanatakiwa wajue, nani kamfuata mwenzake kwenye tukio!..
Kibaka akikuvamia nyumbani kwako hata kama ulimjeruhi kwa kujihami bado mkosaji ni yule KIBAKA aliyekuja kuvamia!

Manara alivamia ndiyo maana kawajibishwa!

Mnaomshauri Manara akate Rufaa mnamjaza ujinga KULE NDIYO WATAMPIGA NYUNDO YA MIAKA 5 na faini juu!

Tena asipokaa sawa watashauriana na AZAM wampokonye kabisa hata king'amuzi ili asiangalie mpira wenyewe!
HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA! wanasiasa uchwara achaneni na mpira!
Kwahiyo kibaka akikuvamia mkosaji ni mvamiwa? Au haujui matumizi ya "!". ! Hii ni mshangao sasa unaposhangaa kibaka kuwa mkosaji sikuelewi.
 
Wanaonesha kudharau TFF, walitakiwa wawe mfano kuheshimu mamlaka, wao mbona huwa wanaonyana huko bungeni kwenye kamati za maadili!
Hakuna Uhuru usiokuwa na mipaka!
Hata kama wote tuko disco lakini ukibamba demu wa mtu kupigwa ni halali yako

Sakata la Manara tuwaachie TFF!
Walichokiamua wao sisi kama watazamaji tunatakiwa kuheshimu!
Kama kuna rufaa mwacheni mhusika mwenyewe!

Kuilaumu TFF ni ishara ya kupungukiwa hekima; Watu kama ZITTO sikutegemea kabisa waoneshe ujinga hadharani!
Kuna yule pia anajiita Prof. MKUMBO, huyu naye sikutegemea aanike ujinga wake namna hii ni mkumbo tu.

Mambo ya mipira yanaongozwa na kanuni na sheria!

Kanuni zikikiukwa ni lazima kanuni zitumike kuamua!
Mbona watu wasiyo na majina wakihukumiwa huwa hamsemi?
Au kanuni zimewekwa kwa baadhi ya watu hawatakiwi kuguswa?

Wanasiasa pelekeni ujinga wenu huko; Mnajitia mnajua kila kitu hapa duniani, Siasa nyinyi, Mambo ya dini nyinyi, mambo ya vita nyinyi, mapenzi nyinyi na sasa na mambo ya mipira mnajitia wasemaji?

Mlitaka ahukumiwe nani?
Kama Haji manara hakukosea Je aliomba radhi kitu gani?
Kama aliomba radhi maana yake alitenda kosa basi TFF wamemuwajisha kama kanuni inavyotaka!
Wanaosema kwanini KARIA Hakuitwa wanatakiwa wajue, nani kamfuata mwenzake kwenye tukio!..
Kibaka akikuvamia nyumbani kwako hata kama ulimjeruhi kwa kujihami bado mkosaji ni yule KIBAKA aliyekuja kuvamia!

Manara alivamia ndiyo maana kawajibishwa!

Mnaomshauri Manara akate Rufaa mnamjaza ujinga KULE NDIYO WATAMPIGA NYUNDO YA MIAKA 5 na faini juu!

Tena asipokaa sawa watashauriana na AZAM wampokonye kabisa hata king'amuzi ili asiangalie mpira wenyewe!
HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA! wanasiasa uchwara achaneni na mpira!
Watanzia huwa wananishangaza Sana.Na huwa nashindwa kuwaelewa.Ila nafikiri ni tatizo la unafiki na uelewa.Karia aliingia TFF kwa kufoji na kutumia mbinu nyingi ambazo ,ni kinyume na taratibu.Haujawahi kuja hapa kutuandikia uzi kuwa alitakiwa kufuata sheria.Ila Karia akianza kuguswa ,ndio utasikia ,fuateni sheria.Je ,haujui kuwa Karia Ni mtu fake?
 
Watanzia huwa wananishangaza Sana.Na huwa nashindwa kuwaelewa.Ila nafikiri ni tatizo la unafiki na uelewa.Karia aliingia TFF kwa kufoji na kutumia mbinu nyingi ambazo ,ni kinyume na taratibu.Haujawahi kuja hapa kutuandikia uzi kuwa alitakiwa kufuata sheria.Ila Karia akianza kuguswa ,ndio utasikia ,fuateni sheria.Je ,haujui kuwa Karia Ni mtu fake?
Kwani kesi iliyokuwa inasikilizwa ni ya vyeti feki?
 
TFF inapaswa kuwekewa mipaka. Tena Mahakama iwe na nguvu zaidi yao ...Je mtumishi wa TFF akionesha utovu wa nidhamu anashitakiwa wapi? Huyu Msomali ni mhuni tu. Wote wali kosea. Wali tishiana. Why ashitakiwe Haji Manara pekee? Hii kesi ili hitaji an independent Agency kusikilizwa. Huyo msomali, aitwe kwenye kamati nae ajieleze. Kwani nani ka waambia kiongozi wa TFF hakosei? Tz kuna Mahakimu wamefungwa itakuwa viongozi wa TFF?????
 
TFF inapaswa kuwekewa mipaka. Tena Mahakama iwe na nguvu zaidi yao ...Je mtumishi wa TFF akionesha utovu wa nidhamu anashitakiwa wapi? Huyu Msomali ni mhuni tu. Wote wali kosea. Wali tishiana. Why ashitakiwe Haji Manara pekee? Hii kesi ili hitaji an independent Agency kusikilizwa. Huyo msomali, aitwe kwenye kamati nae ajieleze. Kwani nani ka waambia kiongozi wa TFF hakosei? Tz kuna Mahakimu wamefungwa itakuwa viongozi wa TFF?????
Aliyemfuata mwenzake nani? Kanuni zinasema jukwaa la viongozi hatakiwi kukaa mshabiki!
Sasa manara alifuata ninj kwenye jukwaa la viongozi kama siyo kufanya fujo?
Tafsiri ya kesi huwa ina mlinda aliyefuatwa kwenye eneo lake!

Manara ukiachilia mbali matusi aliyoyatoa, alitakiwa apewe adhabu nyingine ya kufanya fujo katika starehe!
Haiwezekani kanuni zinataja wazi kwamba usikae pale wewe kwa kujiona mkubwa kuliko kanuni unavunja!

Walichokiamua kamati kiko sahihi asilimia 100% tena huenda wamepunguza adhabu kutokana na vile aliomba msamaha hadharani!
Asingeomba radhi huenda angepigwa mvua 5 kabisa!
 
Watanzia huwa wananishangaza Sana.Na huwa nashindwa kuwaelewa.Ila nafikiri ni tatizo la unafiki na uelewa.Karia aliingia TFF kwa kufoji na kutumia mbinu nyingi ambazo ,ni kinyume na taratibu.Haujawahi kuja hapa kutuandikia uzi kuwa alitakiwa kufuata sheria.Ila Karia akianza kuguswa ,ndio utasikia ,fuateni sheria.Je ,haujui kuwa Karia Ni mtu fake?
Sawa mke wa Manara
 
Kwani wenyewe hawana haki ya kushabikia mpira?
Hawazuiwi kuwa mashabiki ila wanatakiwa kuwa mashabiki katika level ambayo ni ya kawaida tu na si katika hiyo waliyoiparamia. Hawa watu tumewakabdihi majukumu makubwa ya nchi. ACT Wazalendo ni ya Watanzania, siyo ya Zitto. Tunaomba sana hawa watu watusaidie kwenye maswala yenye maslahi mapana ya Taifa; wamsaidie Mama, angalau hata kwa kumkosoa tu inatosha,
 
Wana kimbelembele Cha kujifanya wanajua kila kitu, Manara ingawa wengi wanamhisi ni mzaramo kwao ni kigoma Kwa kifupi adhabu aliyopewa na makosa yake ya kujirudia ni ndogo mno alitakiwa afungiwe miaka kumi na kuendelea tapeli wa magari Leo ndio.tunamwona mstaarabu
 
Wana kimbelembele Cha kujifanya wanajua kila kitu, Manara ingawa wengi wanamhisi ni mzaramo kwao ni kigoma Kwa kifupi adhabu aliyopewa na makosa yake ya kujirudia ni ndogo mno alitakiwa afungiwe miaka kumi na kuendelea tapeli wa magari Leo ndio.tunamwona mstaarabu
Maoni ya wengi, yanashangaza. Hata, baadhi ya wachambuzi Redioni, mfano RFA, nao wameniacha hoi. Wametusikilizisha sauti ya msoma hukumu, inaonyesha kosa la wazi la Manara. Yaani, kile kitendo cha kutoka alikokaa, na kwenda kupiga kelele mbele ya VIP, walikokaa wenye hadhi hiyo. Tunaambiwa, aliambiwa aondoke hapo mbele. Aliondoka, na kurudi tena. Pia akambiwa aondoke, mpaka Karia naye akaingilia kati, kumtaka aondoke hapo mbele.
Sasa, wao wameng'ang'ania kuwa, Karia naye alistahili adhabu! Sijui kwa kosa gani?
 
Aliyemfuata mwenzake nani? Kanuni zinasema jukwaa la viongozi hatakiwi kukaa mshabiki!
Sasa manara alifuata ninj kwenye jukwaa la viongozi kama siyo kufanya fujo?
Tafsiri ya kesi huwa ina mlinda aliyefuatwa kwenye eneo lake!

Manara ukiachilia mbali matusi aliyoyatoa, alitakiwa apewe adhabu nyingine ya kufanya fujo katika starehe!
Haiwezekani kanuni zinataja wazi kwamba usikae pale wewe kwa kujiona mkubwa kuliko kanuni unavunja!

Walichokiamua kamati kiko sahihi asilimia 100% tena huenda wamepunguza adhabu kutokana na vile aliomba msamaha hadharani!
Asingeomba radhi huenda angepigwa mvua 5 kabisa!
Ali itwa na Kiongozi. Mkuu wa Mkoa Arusha. Sasa Karia Tanzania hii ni nani? Kwahiyo TFF ndio ina simamia sheria za nchi?

Kama wote ni wakosaji wangefunguliwa mashitka polisi. Kwani ili onesha ni fujo au ugomvi wa watu 2. Ambalo ni kosa la ki polisi siyo TFF. Kiongozi wa TFF kashiriki ata jishitaki vp?
 
Back
Top Bottom