Wanasimba kwa mzungu hakuna mchezaji pale Viongozi mtambue hilo!

Wanasimba kwa mzungu hakuna mchezaji pale Viongozi mtambue hilo!

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Alipoingia mzungu, Simba ikaanza kupya na ndipo Yanga walipotake advantage ya kuisumbua Simba!
Uchezaji wa mzungu ni ulele kwanza haoni margin uwanjani pia hakabi, chenga hajui!... Kweli viongozi wa Simba ndo mmetuletea Kocha huyu afanye maajabu na Mzungu wake!..... Matola kwanzia sasa akipangwa mzungu tutakyulaumu wewe!

Yaani unamtoa Chama unamleta mzungu ndani... Kocha lazima alaumiwe!
Kwa kwale hapo hatuna Coach
 
Alipoingia mzungu, Simba ikaanza kupya na ndipo Yanga walipotake advantage ya kuisumbua Simba!
Uchezaji wa mzungu ni ulele kwanza haoni margin uwanjani pia hakabi, chenga hajui!... Kweli viongozi wa Simba ndo mmetuletea Kocha huyu afanye maajabu na Mzungu wake!..... Matola kwanzia sasa akipangwa mzungu tutakyulaumu wewe!

Yaani unamtoa Chama unamleta mzungu ndani... Kocha lazima alaumiwe!
Kwa kwale hapo hatuna Coach
Hakika Simba imefungwa kwa sababu ya kocha anadhani bado tuko pre season
 
Madhara ya kocha kusajili ndiyo haya. Nafikiri kila mmoja sasa amejionea mwenyeweee!!

Niliwahi kuyasema haya nikitolea mifano ya zahera na hakina Kindoki na moringa lakini niliishia kupopolewa kwa mawe.

Kwa ujumla kwenye usajili viongozi kwa mara nyingine tena wamefeli

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Alipoingia mzungu, Simba ikaanza kupya na ndipo Yanga walipotake advantage ya kuisumbua Simba!
Uchezaji wa mzungu ni ulele kwanza haoni margin uwanjani pia hakabi, chenga hajui!... Kweli viongozi wa Simba ndo mmetuletea Kocha huyu afanye maajabu na Mzungu wake!..... Matola kwanzia sasa akipangwa mzungu tutakyulaumu wewe!

Yaani unamtoa Chama unamleta mzungu ndani... Kocha lazima alaumiwe!
Kwa kwale hapo hatuna Coach
hatujamaliza hatujamaliza mlete mdhungu mlete mdhungu uyo apo mdhunguu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
IMG-20220814-WA0009.jpg
 
Ata mie nakubalinpale kwa Dejan simba viongozi wamekula pesa ya MO, haiwezekani ktk bara hili la Africa tumeshindwa kupata straiker kweli ..simba viongozi hawapo serious
 
Back
Top Bottom