mkushi wa kushi
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 657
- 993
Ikabidi Kila mtu apambane na hali yake[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mnamsingizia Coach bure tu, hata asingefanya sub yoyote... Kilicho waumiza Simba ni Morrison na Moloko kuingia... Halafu Azizi kurudi kucheza nyuma ya Mayele, hapa ndipo mlizidiwa... Mabeki walijikuta wanapelekewa moto kushoto kwa Morrison na kulia kwa Moloko, walishindwa kuendelea kumkaba Mayele... (1st half Mayele alikabwa na beki wawili) 2nd half ikabidi kila beki apambane na hali yake...
Ambacho umekosea au hukuwaakini au hujui mpira ni kuwa kilichobadilisha mchezo wote ni Kocha NABI kubadilisha formation, fei kurudi nyuma, Aziz Ki kurudishwa kati.Kipindi cha kwanza hakuonekama kwa sababu ya viungo wote wa Yanga waliwekwa kwapani na akina Kanoute na Chama, kitendo cha kuwatoa tu, Mayele akafanya yake maana mipira ilikuwa inadondola tu kwa kwake,anaisogeza na kuangalia afungie wapi...hatari sana.
Hakufanya lolote maana kipindi cha kwanza Aziz master Ki alikua anachezeshwa pembeni hvo akawa anashindwa kupiga pasi za akili kwa mayele!lkn kipindi cha pili mmeona wote kilichotokea na goli la kwanza alifunga kabla ya kanoute na chama kutoka!Kipindi cha kwanza hakuonekama kwa sababu ya viungo wote wa Yanga waliwekwa kwapani na akina Kanoute na Chama, kitendo cha kuwatoa tu, Mayele akafanya yake maana mipira ilikuwa inadondola tu kwa kwake,anaisogeza na kuangalia afungie wapi...hatari sana.
How far sure are you?