Wanasimba SC njooni hapa tufanye maamuzi sahihi tumfukuze kocha au tuwafukuze wachezaji?

ICU
 

Attachments

  • WA_20231105_202625.jpg
    40.2 KB · Views: 1
  • WA_20231105_202624.jpg
    29.6 KB · Views: 2
Aish Manula awe golikipa namba 3 au aondoke kutafuta changamoto nyingine, Kapombe asiwe kipaumbele Israel anzishwe Kila mechi. Kocha aondoke, Miwuison atolewe kwa mkopo Ili ameitain kiwango chake. Kuanzia Leo Salim Ally awe kipa no 1. Golikipa amecheza na Al ahily, Wayda, Yanga ameonyesha uwezo mkubwa halafu duny ya Leo unamuacha na kuweka Aish Manula ambaye ametoka kwenye majeruhi na ana historia ya kupigwa magoli mengi sana 4, 5
 
NI KIPA MZURI LAKINI HANA MATCH FITNESS.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]......
Kwamba hapo watakua wanakimbia au wanapupulika....!!!
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]......
Kwamba hapo watakua wanakimbia au wanapupulika....!!!
Kwa level ya simba kwa uchezaji ule tuna safari ndefu kufika huko ukiangalia yanga na mamelody sundowns wanavyocheza kwa ushirikiano simba wana kazi kubwa ya kufanya.
 
Kwa level ya simba kwa uchezaji ule tuna safari ndefu kufika huko ukiangalia yanga na mamelody sundowns wanavyocheza kwa ushirikiano simba wana kazi kubwa ya kufanya.
NOMA SANA.
 
Kwenye kipingo kama hiki busara ni kurudi nyuma na kufanya tathimini ya makosa ya kiufundi yalikuwa wapi, halafu kama shida ni mfumo hapo tunamgeukia kocha SI kufukuzana bila tathimini tutaharibu zaidi na kuelekea kuwa vibonde, dah!!! lakni inauma[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…