Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe muangalie Mohamed Hussein anavyomsindikiza mchezaji. Mohamed Hussein na kapombe wamechoka jmnKocha ndo anatengeneza hii Chemistry..
Simba ni kama kuna baadhi wanategea
Sasa kafanyaje?Acha unafiki mkuu.
Wabaki na kocha wa objective football . Akisha wadonndosha Chini ndio wamteme mwisho wa msimu aliwaacha nafasi ya 10Kosa kubwa ni kimfukuza huyu mzee.
NI KIPA MZURI LAKINI HANA MATCH FITNESS.Aish Manula awe golikipa namba 3 au aondoke kutafuta changamoto nyingine, Kapombe asiwe kipaumbele Israel anzishwe Kila mechi. Kocha aondoke, Miwuison atolewe kwa mkopo Ili ameitain kiwango chake. Kuanzia Leo Salim Ally awe kipa no 1. Golikipa amecheza na Al ahily, Wayda, Yanga ameonyesha uwezo mkubwa halafu duny ya Leo unamuacha na kuweka Aish Manula ambaye ametoka kwenye majeruhi na ana historia ya kupigwa magoli mengi sana 4, 5
ILA GOLI TANO SIYO MCHEZOTunaanza upyaaaa
Huwez kusajili AIRPORT ukapata ubingwaILA GOLI TANO SIYO MCHEZO
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nyie siyo wa kwanza kupigwa Tano. Sasa kila mtu akianza kufukuza watu baada ya kula tano si itakuwa vurugu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]......Yanga leo wametumia kwa usahihi half spaces simba walikuwa wanakaba mtu badala ya kuziba open space very disorganized when they have the ball and when they lose it they're running like chickens without head they don't make compactness when they lose ball.
[emoji16]Huwez kusajili AIRPORT ukapata ubingwa
Kwa level ya simba kwa uchezaji ule tuna safari ndefu kufika huko ukiangalia yanga na mamelody sundowns wanavyocheza kwa ushirikiano simba wana kazi kubwa ya kufanya.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]......
Kwamba hapo watakua wanakimbia au wanapupulika....!!!
NOMA SANA.Kwa level ya simba kwa uchezaji ule tuna safari ndefu kufika huko ukiangalia yanga na mamelody sundowns wanavyocheza kwa ushirikiano simba wana kazi kubwa ya kufanya.
IMEWASHITUA HII LAZIMA WAAMKE.Haya matokeo ilikuwa ni suala la muda tu ili viongozi wa Simba waamke,kuanzia usajili mpaka management
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Simba mnyama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mara kamekuwa kapaka...