Wanasimba : Special campaign ya kumrudisha Ndemla kikosini

Wanasimba : Special campaign ya kumrudisha Ndemla kikosini

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Habari za muda huu

Naleta mada kibishi hapa jukwaani.

Hivi wanasimba wenzangu hatuwezi kushinikiza Said Ndemla kurudishwa kikosini?
Ukilinganisha Aliondolewa Ndemla akaletwa kanute na Abdulswamadu lakin Abdulswamadu akashindwa kushaine hivyo akatolewa kwa mkopo.
Saiv uongozi unahangaika na mkandala ambae hatujui Kama ataendana na mfumo ama la ,si Bora angerudi tu Ndemla na akipata nafasi hao akina Bwalya , mzamiru ,Nyoni na Mkude si hawataturingia?
 
Mbona naskia anaenda CHAMAZI
Habari za muda huu

Naleta mada kibishi hapa jukwaani.

Hivi wanasimba wenzangu hatuwezi kushinikiza Said Ndemla kurudishwa kikosini?
Ukilinganisha Aliondolewa Ndemla akaletwa kanute na Abdulswamadu lakin Abdulswamadu akashindwa kushaine hivyo akatolewa kwa mkopo.
Saiv uongozi unahangaika na mkandala ambae hatujui Kama ataendana na mfumo ama la ,si Bora angerudi tu Ndemla na akipata nafasi hao akina Bwalya , mzamiru ,Nyoni na Mkude si hawataturingia?
 
acheni vichekesho.. hawa akina ndemla wanajua kucheza ligi za ndani tu ukiwapeleka ccc hawana kitu hawa.. simba inatakiwa i advance kwa kusajili wachezaji wa viwango vya juu zaidi ya akina Ndemla
 
acheni vichekesho.. hawa akina ndemla wanajua kucheza ligi za ndani tu ukiwapeleka ccc hawana kitu hawa.. simba inatakiwa i advance kwa kusajili wachezaji wa viwango vya juu zaidi ya akina Ndemla
Lazima tuwe na wachezaji wa ndani,je viungo wa ndani wanamzidi nini Ndemla?
 
Fraga, Kahata, Shiboub walitakiwa wawepo Simba hadi mda huu.

Kuna watu wapo Simba hawawafikii hawa jamaa kabisa.
Walimtema kahata wakamleta Duncun Nyoni .
Wakamwacha shibob wakaleta Bwalya.
Waliwahi kumtoa okwi wakamleta Kanda.

Kiufupi hawajawahi kuwa serious hasa wanapomtoa mchezaji toka 11st ,, replacement yake huwa wanafail sana
 
Mtu akisema fraga nasikitika haswaaa wakuu. Ile ni namba ambayo inafinya na haina faulu nyingiiiii dah man fraga.
Ndemla ni sawa sasa watu mkisema tusajili nje tuu kwahiyo kikosi chote kiwe cha wageniii?
 
Back
Top Bottom