Wanasimba tuanze safari pasina kutegemea hamasa ya msemaji, hata Mwijaku hatufai

Wanasimba tuanze safari pasina kutegemea hamasa ya msemaji, hata Mwijaku hatufai

Cvez

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2018
Posts
4,405
Reaction score
13,411
Uongozi wa Simba wekezeni nguvu katika benchi la ufundi na maslahi ya wachezaji na wafanyakazi wa Simba. Tusianze kutafuta mtu wa kuanza kushindana na Haji Manara, era yake ishapita. Tumpe mkataba wa muda mrefu Ezekiel Kamwaga.

Kutafuta mtu dizaini ya Haji Manara kama Mwijaku au Dr Kumbuka ni kuendelea kupoteza muda tu kamwe haisaidii sana sana ni kuendelea kuhangaika na kumpa umaarufu zaidi. Tusimame katika kupata points 3 tu hiyo ndio hamasa tosha mashabiki wanayotaka.​
 
Uongozi wa Simba wekezeni nguvu katika benchi la ufundi na maslahi ya wachezaji na wafanyakazi wa Simba. Tusianze kutafuta mtu wa kuanza kushindana na Haji Manara, era yake ishapita. Tumpe mkataba wa muda mrefu Ezekiel Kamwaga.

Kutafuta mtu dizaini ya Haji Manara kama Mwijaku au Dr Kumbuka ni kuendelea kupoteza muda tu kamwe haisaidii sana sana ni kuendelea kuhangaika na kumpa umaarufu zaidi. Tusimame katika kupata points 3 tu hiyo ndio hamasa tosha mashabiki wanayotaka.​
Aisee,
So haji atakua anatamba peke yake kwenye media wakati Simba itakua inatamba kwenye ligi.
 
Wakati wa Yanga ya kampa kampa tena,jamaa alikuwepo.

Mashabiki hawakuwa wakienda wa kutosha uwanjani.

"Jerry Muro akatunyoosha". Tukaitwa mikia,wa mchangani. Wao wakajiita wa kimataifa. Kilichotuuma sio yale maneno ya Jerry. Bali matokeo mabovu uwanjani. Matokeo ndio yalofanya maneno ya Jerry yawe yanaumiza.

Senzo alipoenda Yanga ulitokea mtikisiko,ila matokeo yalipokuwa unga unga mwana ikawa hata tumesahau kuwa Senzo yupo Yanga. Ukimuona kwenye picha kwenye mkutano wa Yanga ndio unasema alaaa,kumbe yupogo bado?

kwa hiyo mchawi matokeo ya uwanjani yawe mazuri ndio maneno ya msemaji yatakuwa "dhahabu"
 
Yap,ndo maana timu ipo kambini sasahivi na uongozi haujishughulishi kabisa na matakataka ya mihemko mitandaoni. wapo wanafanya kazi kwelikweli.
Hii ndo maana ya Simba ya sasa kufanya mambo ki-professionalism na kuachana na uswahili.
 
Simba ilishakuwa na muhamasishaji (Haji), hivyo kuondolewa kwake kunafanya kuwe na pengo la mtu wa kuhamasisha. Mimi naona Mwijaku au Dr Kumbuka wote wanafaa.

Simba isipoteua mhamasishaji kutamfanya Haji atambe pekeyake kule mtaa wa pili na utani wa jadi ndio asili yetu Watanzania.

Haji anavyoponda Jezi za Simba kuwa zimejaa Matangazo, lazima apate mtu wa kumjibu hivi vijembe hapo tena ndio inasaidia kutangaza hayo matangazo ya hao wanaodhamini.
 
Simba ilishakuwa na muhamasishaji (Haji), hivyo kuondolewa kwake kunafanya kuwe na pengo la mtu wa kuhamasisha. Mimi naona Mwijaku au Dr Kumbuka wote wanafaa.

Simba isipoteua mhamasishaji kutamfanya Haji atambe pekeyake kule mtaa wa pili na utani wa jadi ndio asili yetu Watanzania.

Haji anavyoponda Jezi za Simba kuwa zimejaa Matangazo, lazima apate mtu wa kumjibu hivi vijembe hapo tena ndio inasaidia kutangaza hayo matangazo ya hao wanaodhamini.
Moira wa kisasa hauitaji hayo maujinga.
 
Uongozi wa Simba wekezeni nguvu katika benchi la ufundi na maslahi ya wachezaji na wafanyakazi wa Simba. Tusianze kutafuta mtu wa kuanza kushindana na Haji Manara, era yake ishapita. Tumpe mkataba wa muda mrefu Ezekiel Kamwaga.

Kutafuta mtu dizaini ya Haji Manara kama Mwijaku au Dr Kumbuka ni kuendelea kupoteza muda tu kamwe haisaidii sana sana ni kuendelea kuhangaika na kumpa umaarufu zaidi. Tusimame katika kupata points 3 tu hiyo ndio hamasa tosha mashabiki wanayotaka.​
Klabu kubwa km Simba haihitaji wahamasishaji. Matokeo mazuri uwanjani ndiyo hamasa tosha.
 
Ni upumbavu kufikiri hatuwezi kufikia hivyo viwango vya Waarabu. SIMBA imefikia vizuri kabisa.
Ni upumbavu zaid kumfukuza mtu kama Manara na kuendelea kuwaza utafika Nusu fainal CAF
 
Uongozi wa Simba wekezeni nguvu katika benchi la ufundi na maslahi ya wachezaji na wafanyakazi wa Simba. Tusianze kutafuta mtu wa kuanza kushindana na Haji Manara, era yake ishapita. Tumpe mkataba wa muda mrefu Ezekiel Kamwaga.

Kutafuta mtu dizaini ya Haji Manara kama Mwijaku au Dr Kumbuka ni kuendelea kupoteza muda tu kamwe haisaidii sana sana ni kuendelea kuhangaika na kumpa umaarufu zaidi. Tusimame katika kupata points 3 tu hiyo ndio hamasa tosha mashabiki wanayotaka.​
We are above next level

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Klabu kubwa km Simba haihitaji wahamasishaji. Matokeo mazuri uwanjani ndiyo hamasa tosha.
Simba ikienda mbali tena kimataifa na ikachukua ubingwa automatically Hawa majamaa watanyamaza tu,we unadhani wakipigwa nje ndani ,kombe ikachukuliwa ,Simba ikafika tena robo wao wakaishia kwenye hatua za awali unadhani watakuwa na midomo?hata huyo manara atakuwa hana la kuongea mwisho wa siku watagombana wenyewe ,Simba ipige kazi waachane nao matokeo yaongee.Wanashtuka rank ya CAF Simba inapaa tu na back to back inaeendelea
 
Back
Top Bottom