Wanasimba tutakaoishangilia ZESCO kutoka Zambia siku ya Jumamosi tukutane hapa

Wanasimba tutakaoishangilia ZESCO kutoka Zambia siku ya Jumamosi tukutane hapa

Zesco hawa hapa
69834555_220447352258760_2670710644168006746_n.jpeg
69548392_153872682390377_3829321596473682327_n.jpeg
68856387_108684077186317_2019742987111782962_n.jpeg
 
Kashuka Daraja Juventus ya Ronaldo sembuse Simba.
Mwaka 1989 ulikuwa na umri gani? Nauliza hivyo kwa sababu timu yako ya Simba ilikuwa ishuke daraja na RTC Kigoma ikaokolewa na Yanga. Leo mwokozi wako unamsusia, akili yako iko sawa kweli?
 
Kamati ya roho mbaya kutoka Zambia tuna kikao Mara moja
FB_IMG_1566984433012.jpeg
 
Kila La Kheri Timu Yangu Pendwa Zesco

Piga hawa Matikiti FC warudi wakafuge vyura
 
Simba kachukua point tatu leo ligi kuu, kesho mapema taifa kuishangilia Zesco United...
 
Back
Top Bottom