balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Utakuwa unanjua na mm nitakuwa na kujua,ulikuwa na akina nani?[emoji1] [emoji2] nahisi nakujua maana ilo aka la get busy mkuu umenikumbusha A level pale green acres.
Perfect.ukidaiwa pesa nyingi hivyo ya kodi huwezi kufukuzwa hata siku moja.
akilipa tu hilo deni ndiyo atafukuzwa.
Nashauri changeni pesa ya kumtorosha akaishi sehemu nyingine.
Wanasema ni pango la ofisi zake,yeye ana maisha poa tuu.Perfect.
Huu ndio ushauri wa maana katika mazingira ya sasa ya ukata wa vyuma kukaza.
Ni bora wapenzi wa Simba wakamtafutia kiwanja cha kujenga popote na hiyo michango yao ya kuweza kufikia milioni Tano ajengewe hata kibanda cha vyumba viwili akaishi humo, ili siku akitimuliwa kwenye hiyo nyumba ya Urafiki anaishia kusepa zake kwenye kibanda chake.
Kama yupo Vizuri alipe madeni, akumbuke kuwa yeye ni maarufu aliyetumikia mioyo yetu hatutakubali kuona anadhalilikaZamoyoni Mogella amepanga ofisi ya biashara hapa urafiki ni jirani yangu kiofisi sio makazi na alijihusiha na ujenzi na supplying. Anachodaiwa ni kodi za ofisi zake mbili za biashara sio makazi. Yupo vizuri kuliko wengi wetu humu. Mod fanyeni update sio watu wanachangia tu bila uelewa.
Mo analijua hili? Kwani Haji kasemaje?Mchezaji wa zamani wa Simba na Taifa Stars Zamoyoni Mogella yuko mbioni kutimuliwa kwenye kota za Urafiki baada ya kulimbikiza kodi mpaka kufikia deni la Tsh mil 5.
Chanzo - Mwananchi .
Ombi - kutoa ni moyo .
Huyu huyu Pili?Dah... Ila inasemekana mali zilikuwa za mkewe..
Huyu huyu Pili aliyekua NSSF?Alifilisiwa na mke wake baada ya kudai wagawane mali
Zamoyoni huyu huyu Golden boy!! Dah! Hebu mikia futeni hiyo aibu.Mchezaji wa zamani wa Simba na Taifa Stars Zamoyoni Mogella yuko mbioni kutimuliwa kwenye kota za Urafiki baada ya kulimbikiza kodi mpaka kufikia deni la Tsh mil 5.
Chanzo - Mwananchi .
Ombi - kutoa ni moyo .
Mkuu moja ya sheria za jf ni NO NAME MENTIONINGHuyu huyu Pili aliyekua NSSF?
Mnapooa jaribuni kuangalia na majina ya hao wanawake zenu , majina mengine ni soo .Huyu huyu Pili aliyekua NSSF?
Nadhani sheria inakataza kumtaja jina member wa JF mwenye ID ya giza , hata kama unamfahamu , si kutaja majina kama huyu alivyomtaja mke wa MogellaMkuu moja ya sheria za jf ni NO NAME MENTIONING
Kama ambavyo Lunyamila dakika za mwisho alivyoleta usimba simba
Hizo nyumba za kinondoni ndo mwisho wa matatizo au?Huyu alikuwa na ghorofa moja kinondoni karibu na shule ya msingi muongo,pia alikua na nyumba pale mkwajuni karibu na baa ya katumba
Sasa zimeenda wapi mpk anadaiwa?
Ukweli mtupu !Unajua Hawa wachezaji huwa wanajisahau sana; ukiwa Simba hupaswi kwenda yanga kwasababu mipango mizuri ya pesa na Utu upo Simba tu; Na sio yanga, ndo maana wanarudi kutulilia!! Msubilini Na Ngasa mtakuja kumsikia!!!! Ni Afadhali mchezaji aende timu yoyote ila sio yanga!!!
Usichezee Mnyama!!!! Watu wake tupo Makini, Madhubuti!!! Acha kabisa!!!
yule Alex sjui Nani aliekuwa nakina papaa msofe alichezea tim ganUnajua Hawa wachezaji huwa wanajisahau sana; ukiwa Simba hupaswi kwenda yanga kwasababu mipango mizuri ya pesa na Utu upo Simba tu; Na sio yanga, ndo maana wanarudi kutulilia!! Msubilini Na Ngasa mtakuja kumsikia!!!! Ni Afadhali mchezaji aende timu yoyote ila sio yanga!!!
Usichezee Mnyama!!!! Watu wake tupo Makini, Madhubuti!!! Acha kabisa!!!
fainali ujanani.. uzeeni matokeo..Fainali uzeeni