Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Ni kweli isiyokuwa na shaka Jean Baleke ni moto wa kutisha, wanaobisha ni wivu tu
Lakini pia tusisahau Jean Baleke sio mchezaji wetu, ni mchezaji wa TP Mazembe na yupo Simba kwa mkopo
Kuringa sana ni kama mtu anateringia gari la mkopo kama vile ni lake
Huku tukijisahaulisha ukweli mchungu kuwa tumesajili magarasa ya kudumu kama Sawadogo, Okwa, Okrah na Akpan ndio wachezaji wetu ambao watatugharimu mamilioni ya hela kwenye mikataba yao.
Lakini pia tusisahau Jean Baleke sio mchezaji wetu, ni mchezaji wa TP Mazembe na yupo Simba kwa mkopo
Kuringa sana ni kama mtu anateringia gari la mkopo kama vile ni lake
Huku tukijisahaulisha ukweli mchungu kuwa tumesajili magarasa ya kudumu kama Sawadogo, Okwa, Okrah na Akpan ndio wachezaji wetu ambao watatugharimu mamilioni ya hela kwenye mikataba yao.