Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Too late kwa sasa mkuu, hayawezi kutupa ubingwa wa ligi.Kwani magoli anafunga ni ya mkopo? we are living today ya mbele yatajulikna huko
Hizi ni akili fupi sanaMkopo wake ni kwaajili ya tareh16
Hayo mengine hayatuhusu
Wewe ni Mgeni wa derby, hizo mechi usiweke matalajio kwa mchezaji hata siku moja.Mkopo wake ni kwaajili ya tareh16
Hayo mengine hayatuhusu
Tuambiane ukweli tu, Simba ya Sasa ni mbovu' na inahitaji 'overhaul', ama sivyo itabidi ikae miaka kurudi kwenye viwango!Too late kwa sasa mkuu, hayawezi kutupa ubingwa wa ligi
Labda Kombe la Shirikisho
Ila pointi ni kuwa wachezaji ambao tulitakiwa kusajili kwa mkataba wa kudumu tumechukua kwa mkopo na ambao tulitakiwa kuchukua kwa mkopo tumewapa mikataba ya kudumu
Zako ndefu..Hizi ni akili fupi sana
Usi ishi Kwa mazoeaWewe ni Mgeni wa derby, hizo mechi usiweke matalajio kwa mchezaji hata siku moja.
Chama zilishamshindaga hizo mechi.
Sijawahi kuona mchezaji wa kudumu toka nazaliwa, labda utoe mfano. Gigs mwenyewe ilifika hatua muda ukamuacha man u. Au fei toto?Ni kweli isiyokuwa na shaka Jean Baleke ni moto wa kutisha, wanaobisha ni wivu tu...
Mbovu kuliko timu ipi?Tuambiane ukweli tu, Simba ya Sasa ni mbovu' na inahitaji 'overhaul', ama sivyo itabidi ikae miaka kurudi kwenye viwango!
Yaani Kubwa Jinga na Taahira la JamiiForums Matolamavi ndiyo aniite Mimi? Hivi Mzize anaweza Kumuita Haaland Mkuu?GENTAMYCINE unaitwa huku