Wanasimba wenzangu suala la vyeti vya Mgunda vitufumbue macho

Wanasimba wenzangu suala la vyeti vya Mgunda vitufumbue macho

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Ndugu zangu wanasimba poleni na stress za hapa na pale juu ya timu yetu.

Tuna uongozi mbovu haijawahi kutokea. How comes unarelease barua ya kupata kocha mkuu wa Mda (MGUNDA) huku hujajiridhirisha kama ana nyaraka zote zinazotakiwa na mamlaka za mpira?

Vetting ya kumchagua imefanyikaje?

Tuna uongozi makini kweli ndugu zangu??
Kama mnavyoona usajili wenyewe ulifanyika kimagumashi (wachezaji wa mafungu).

Njooni tujadiliane kabla timu yetu haijaanguka zaidi.

Achaneni na issue ya Matola hana shida, shida ni uongozi.

Nipo hoves kabisa mimi nahisi kuchanganyikiwa.
 
Mi mwenyewe nashangaa club inayosema ina malengo ya kufika nusu fainali Caf champions league kocha msaidizi hana vyeti club iliyo serious ilitakiwa kuanzia kocha wa makipa na kocha msaidizi na head coach wote wawe na qualification zinazotakiwa na Caf.
Inatia hasira sana mkuu
 
Raha zipo muda huu nipo na wifi yako nakosaje raha
Yule kimbau mbau hawezi kutuletea magumashi atuachie simba yatu shenzi sana
Mawazo mazuri sana.Huyu inabidi aondoke haraka sana.
 
Kiukweli Mimi nimesikitika Sana kuona jambo hili bado lipo karne hii imagine timu Kama zalan Wana kocha wa CAF halafu simba hawana.

Huu ni zaidi ya utoto Babra ni kirusi pale simba wasipo mwondoa watashuka hata daraja.
Wataelewa taratibu
 
Tatizo Simba wanamkumbatia Barbra. Ngoja awashughulikie. kuanzia mgogoro na Manara, morisson na Sasa kushindwa kuajiri kocha wa maana na usajili wa striker huyo yupo Simba kujitangaza na sio kupeleka Simba mbele.
 
Back
Top Bottom