OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Jana watangazaji wa Kenya walikuwa wakitaja sana Kichuya kabla hajaingia,alipoingia mchezo ukabadilika. Mimi namuita mume wa YangaKichuya kona,kwny historia ya hivi karibuni sidhani kama kuna mchezaji hodari kama huyu kutokea Morogoro