Wanasoka mbona Kuna kimya kuhusu Onana wa Simba!

Wanasoka mbona Kuna kimya kuhusu Onana wa Simba!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Wilson Onana alisajiliwa kwa mbwembw sana, tambo zilikuwa nyingi mno, zikihusishwa kuwa eti Simba ilishauriwa na Samwel Etoo kuwa Onana ni mtu nanusu. Baadaya ya msimu kuanza mambo yalikuwa tofauti Onana akawa Si lolote si chochote Uwanjani!

Bila shaka lilikuwa ni suala la muda tu kuvunjiwa Mkataba! Baada ya ujio wa Kocha Benchika kaupepo kazuri kana inyanyua nyota ya Onana! Juzi kacheza muda Mwingi hadi alipoumia na akaingia Mfalme Chama!

Jambo la ajabu ni kuwa Onana kama ameanza kuwa prove wrong mashabiki! Pengine ni mapema sana! Ila ukimya wa mashabiki kuhusu ubovu wa Onana ktk mechi hizi mbili ,hasa juzi unavutia sana.

Jambo la kujifunza ni kuwa Mazingira ya soka la Tanzania ni magumu sana kwa baadhi ya wachezaji wa nje! Haiwezekani mchezaji akawa Bora kwenye ligi ya Ghana au Nigeria aje hapa ghafla tu awe garasa!
Kuna jambo nje ya uwanja!
 
Wilson Onana alisajiliwa kwa mbwembw sana ,tambi zikikuwa nyingi mno,zikihusishwa kuwa eti Simba ilishauriwa na Samwel Etoo kuwa Onana ni mtu nanusu.
😳😳😳 dah pole mleta mada, kunywa maji mengi upunguze kiwewe,usiwe na haraka unapoandika
nahisi una kitu. umeandika maneno mengine hatuyaelewi.au ndo kamusi ya kiswahili imeongezeka maneno
...............kuna jbo nje ya uwanja.
 
Wilson Onana alisajiliwa kwa mbwembw sana ,tambo zilikuwa nyingi mno,zikihusishwa kuwa eti Simba ilishauriwa na Samwel Etoo kuwa Onana ni mtu nanusu.
Baadaya ya msimu kuanza mambo yalikuwa tofauti Onana akawa Si lolote si chochote Uwanjani!
Bila shaka lilikuwa ni suala la.muda tu kuvunjiwa Mkataba!
Baada ya ujio wa Kocha Benchika kaupepo kazuri kana inyanyua nyota ya Onana!
Juzi kacheza muda Mwingi hadi alipoumia na akaingia Mfalme Chama!
Jambo la ajabu ni kuwa Onana kama ameanza kuwa prove wrong mashabiki! Pengine ni mapema sana! Ila ukimya wa mashabiki kuhusu ubovu wa Onana ktk mechi hizi mbili ,hasa juzi unavutia sana.
Jambo la kujifunza ni kuwa Mazingira ya soka la Tanzania ni magumu sana kwa baadhi ya wachezaji wa nje! Haiwezekani mchezaji akawa Bora kwenye ligi ya Ghana au Nigeria aje hapa ghafla tu awe garasa!
Kuna jambo nje ya uwanja!
Sio yeye unamkumbuka KIbu Dennis amevumilia sana amepambana sana amejituma sana sasa hivi ukimuweka benchi unaweza ukajitaftia matatizo yasiyokuhusu
 
Wilson Onana alisajiliwa kwa mbwembw sana ,tambo zilikuwa nyingi mno,zikihusishwa kuwa eti Simba ilishauriwa na Samwel Etoo kuwa Onana ni mtu nanusu.
Baadaya ya msimu kuanza mambo yalikuwa tofauti Onana akawa Si lolote si chochote Uwanjani!
Bila shaka lilikuwa ni suala la.muda tu kuvunjiwa Mkataba!
Baada ya ujio wa Kocha Benchika kaupepo kazuri kana inyanyua nyota ya Onana!
Juzi kacheza muda Mwingi hadi alipoumia na akaingia Mfalme Chama!
Jambo la ajabu ni kuwa Onana kama ameanza kuwa prove wrong mashabiki! Pengine ni mapema sana! Ila ukimya wa mashabiki kuhusu ubovu wa Onana ktk mechi hizi mbili ,hasa juzi unavutia sana.
Jambo la kujifunza ni kuwa Mazingira ya soka la Tanzania ni magumu sana kwa baadhi ya wachezaji wa nje! Haiwezekani mchezaji akawa Bora kwenye ligi ya Ghana au Nigeria aje hapa ghafla tu awe garasa!
Kuna jambo nje ya uwanja!
Onana huyu huyu wa Simba? Hapo mkubali mlipigwa na muda sio mrefu kocha atamrudisha benchi. Hawezi kushambulia, hana madhara mvivu tu, hata mechi ya juzi hakuwa na maajabu. Mi nachoona tu kocha hana namna anaona Bora amchezeshe. Ila nakwambia Chilunda ni mzuri kuliko huyo Onana.
 
Onana huyu huyu wa Simba? Hapo mkubali mlipigwa na muda sio mrefu kocha atamrudisha benchi. Hawezi kushambulia, hana madhara mvivu tu, hata mechi ya juzi hakuwa na maajabu. Mi nachoona tu kocha hana namna anaona Bora amchezeshe. Ila nakwambia Chilunda ni mzuri kuliko huyo Onana.
Ni kweli mkuu bora hata Chilunda kuliko huyu Onana ,anaruka ruka tu na kuleta mbwembwe amna la maana analofanya ..
 
Hatimaye Onana ameingia kwenye kikosi cha kwanza cha kocha mpya Benchikha!! Wale mashabiki wangu mbumbumbu waliokuwa wanampinga, naona kwa sasa wanagugumia tu kwa maumivu.
 
Wanaogopa kuongea coz kocha aliwaambia hataki kupangiwa chakufanya!!, Ndio maana unaona mishabiki ya Dundukwa imetulia haina namna saizi onana anamweka benchi mungu mtu wao "kiungo kinyonga".
 
Huyo Onana ni aina ya wachezaji ambao huwa wanafanya vizuri mazoezini lakini kwenye mechi wanakuwa hovyo. Kocha anakuwa anashawishika akimuona mazoezini njoo sasa uwanjani kituko kabisa. Ndio maana kwenye mechi ya Waydad kuna muda kamera zilimuonyesga Benchika alivyokunja uso kutokana na Onana kupoteza mpira kijinga kabisa. Ni suala la muda tu hata Benchika ataanza kumpiga benchi kwani hata Robertino alimbeba maji yalipozidi unga akawa ananona aibu akaamua ampige benchi.

Na tatizo la Onana sio mchezaji mbaya kivile basi tu yeye ni lainilaini sio mpamabanaji uwanjani. Na kilichomponza zaidi ni sifa alizopata kabla hata hajaanza kucheza hapa nchini. Na kilichommaliza kabisa ni lile goli alilofunga siku ya Simba day basi akajiona tayari yeye ni mfalme pale Msimbazi na Tanzania nzima kwa ujumla kumbe hakujua magumu atayakuta mbele ya safari.
 
Wilson Onana alisajiliwa kwa mbwembw sana, tambo zilikuwa nyingi mno, zikihusishwa kuwa eti Simba ilishauriwa na Samwel Etoo kuwa Onana ni mtu nanusu. Baadaya ya msimu kuanza mambo yalikuwa tofauti Onana akawa Si lolote si chochote Uwanjani!

Bila shaka lilikuwa ni suala la muda tu kuvunjiwa Mkataba! Baada ya ujio wa Kocha Benchika kaupepo kazuri kana inyanyua nyota ya Onana! Juzi kacheza muda Mwingi hadi alipoumia na akaingia Mfalme Chama!

Jambo la ajabu ni kuwa Onana kama ameanza kuwa prove wrong mashabiki! Pengine ni mapema sana! Ila ukimya wa mashabiki kuhusu ubovu wa Onana ktk mechi hizi mbili ,hasa juzi unavutia sana.

Jambo la kujifunza ni kuwa Mazingira ya soka la Tanzania ni magumu sana kwa baadhi ya wachezaji wa nje! Haiwezekani mchezaji akawa Bora kwenye ligi ya Ghana au Nigeria aje hapa ghafla tu awe garasa!
Kuna jambo nje ya uwanja!
🤣🤣
 
Wilson Onana alisajiliwa kwa mbwembw sana, tambo zilikuwa nyingi mno, zikihusishwa kuwa eti Simba ilishauriwa na Samwel Etoo kuwa Onana ni mtu nanusu. Baadaya ya msimu kuanza mambo yalikuwa tofauti Onana akawa Si lolote si chochote Uwanjani!

Bila shaka lilikuwa ni suala la muda tu kuvunjiwa Mkataba! Baada ya ujio wa Kocha Benchika kaupepo kazuri kana inyanyua nyota ya Onana! Juzi kacheza muda Mwingi hadi alipoumia na akaingia Mfalme Chama!

Jambo la ajabu ni kuwa Onana kama ameanza kuwa prove wrong mashabiki! Pengine ni mapema sana! Ila ukimya wa mashabiki kuhusu ubovu wa Onana ktk mechi hizi mbili ,hasa juzi unavutia sana.

Jambo la kujifunza ni kuwa Mazingira ya soka la Tanzania ni magumu sana kwa baadhi ya wachezaji wa nje! Haiwezekani mchezaji akawa Bora kwenye ligi ya Ghana au Nigeria aje hapa ghafla tu awe garasa!
Kuna jambo nje ya uwanja!
Unaumia ukiwa wapi
 
Huyo Onana ni aina ya wachezaji ambao huwa wanafanya vizuri mazoezini lakini kwenye mechi wanakuwa hovyo. Kocha anakuwa anashawishika akimuona mazoezini njoo sasa uwanjani kituko kabisa. Ndio maana kwenye mechi ya Waydad kuna muda kamera zilimuonyesga Benchika alivyokunja uso kutokana na Onana kupoteza mpira kijinga kabisa. Ni suala la muda tu hata Benchika ataanza kumpiga benchi kwani hata Robertino alimbeba maji yalipozidi unga akawa ananona aibu akaamua ampige benchi.

Na tatizo la Onana sio mchezaji mbaya kivile basi tu yeye ni lainilaini sio mpamabanaji uwanjani. Na kilichomponza zaidi ni sifa alizopata kabla hata hajaanza kucheza hapa nchini. Na kilichommaliza kabisa ni lile goli alilofunga siku ya Simba day basi akajiona tayari yeye ni mfalme pale Msimbazi na Tanzania nzima kwa ujumla kumbe hakujua magumu atayakuta mbele ya safari.
Kunywa maji mengi yanasaidia kupunguza UTI
 
Back
Top Bottom