Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Manchester United ile team ukiitolea brand yake ya (umanchester ) inapigwa hata na lipuli Paul nonga ni Bora kuliko Lukaku.Beki kitasa wa Man Utd, Eric Bailly ameumia tena, safari hii amepata majeraha akiwa na klabu yake katika maandalizi ya msimu mpya (Pre Season).
Baada ya uchunguzi, imethibitika kuwa atakaa nje kwa miezi minne mpk mitano. Licha ya kuwa ni beki mahiri sana, ila amekuwa akikumbwa na majeraha ya mara kwa mara (injury prone).
Leo, tuwataje wanandinga maarufu ambao huwa wanakumbwa na majeraha ya mara kwa mara kiasi cha kutishia ubora wa vipaji vyao.
Mimi naanza na Abou Diaby...
Daah,umenikumbusha hili jembe nakumbuka kombe la dunia 2002, aliumia akaenda zake kuoga akarudi kwenye benchi kukaa na wenzie alipiga bonge moja ya rabaOwen Lee Hargreaves
Hatari sana uyu jamaa ndio alifanya nikaanza shabikia Man United.Owen Lee Hargreaves
Marco Van Basten alikuwa analijua sana goli. So sad alistafu mapema tu kwa majeraha.Majeruhi sumu saana yamefanya tusifaidi saana vipaji maridhawa vya hawa mafundi wachache
Santi cazorla
Marco reus
Abou diaby
Jack wilshere
Marc van basten..
Nilikuwa namkubali sana, japo hakuwa na muda mzuri sana Real Madrid.kuna fala alikuwa anaitwa jonathan woodgate
a.k.a miguu ya glass
Owen Hargreaves alicheza World cup moja tu tena ni ile ya 2006 iliyofanyika Ujerumani.Daah,umenikumbusha hili jembe nakumbuka kombe la dunia 2002, aliumia akaenda zake kuoga akarudi kwenye benchi kukaa na wenzie alipiga bonge moja ya raba
Usinibishie tafadhali, korea na Japan alikuwepo tena yeye ndio alikuwa international player kikosi kizimaOwen Hargreaves alicheza World cup moja tu tena ni ile ya 2006 iliyofanyika Ujerumani.
2002 alicheza akapata majeruhi mechi ya argentinaOwen Hargreaves alicheza World cup moja tu tena ni ile ya 2006 iliyofanyika Ujerumani.