upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Ila huyo Ally Mayay kasotea sana shule maana nakumbuka kuna kipindi gazeti liliandika 'Ally Mayay apata Yai' nazani ni baada ya kutaga Form Six.Acha ushamba!! Aaron Nyanda ana Post Graduate ya Marketing anafanya kazi TFF kama Afisa Masoko!
Ally Mayay ana Masters and now ni Afisa Biashara Wizara ya Viwanda!!