Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,864
- 5,695
Kutokana na taifa hili kuvamiwa kijeshi na kikundi cha watu wasio julikana miaka saba ya utawala wao taifa hili lilijazwa hofu watu kutekwa na kuuawa kama kuku, kupiga risasi watu hovyo na wengine kupotezwa.
Wapo wenzetu kutokana na nafasi zao pamoja na hali ya kuogofya bila kutanguliza maslahi yao walisimama kidete kuilinda nchi isipoteze Uhuru wake. Najua wapo wengi walio mpinga Nduli na malaika zake kw uchache nimeona tuwatambue hawa wafuatao:
1. Freeman Aikael Mbowe
2. Tundu A. Lissu
3. Maalim Seif Sharif Hamad
4. Askofu Bagonza
4. Askofu Niwemugizi
5. Askofu Fredrick Shoo
6. Fatma Karume (shangazi
7. Mtume Mwingira
8. Shekhe Issa Ponda
9. Maria Sarungi
10. Askofu Mwamakula.
11. Adv. Peter Kibatala
Maendeleo hayana vyamaa.
Wapo wenzetu kutokana na nafasi zao pamoja na hali ya kuogofya bila kutanguliza maslahi yao walisimama kidete kuilinda nchi isipoteze Uhuru wake. Najua wapo wengi walio mpinga Nduli na malaika zake kw uchache nimeona tuwatambue hawa wafuatao:
1. Freeman Aikael Mbowe
2. Tundu A. Lissu
3. Maalim Seif Sharif Hamad
4. Askofu Bagonza
4. Askofu Niwemugizi
5. Askofu Fredrick Shoo
6. Fatma Karume (shangazi
7. Mtume Mwingira
8. Shekhe Issa Ponda
9. Maria Sarungi
10. Askofu Mwamakula.
11. Adv. Peter Kibatala
Maendeleo hayana vyamaa.