Wanataaluma nisaidieni: Kozi hii inahusu nini: Bachelor Of Science In Industrial Engineering And Engineering Management

Wanataaluma nisaidieni: Kozi hii inahusu nini: Bachelor Of Science In Industrial Engineering And Engineering Management

Mods naomba msiifute, niliweka mkafuta, I am in dire need to get clarification before making decision where to join

Niko kwenye dilema huyu kijana anakwenda kusoma nini na applicability yake kwa Tanzania.
Inahusu nini hasa maana siyo pure engineering classical one .
Anapata utaalamu gani na position yake katika employment industry ikoje kwa hapa kwetu.
Anakuwa na utaalamu gani?

Kwa namna hayo majina ya programs yalivyo Ligi ya maana ni Industrial hio ya Engineer Management ni utopolo kabisa achana nayo haina reflection ya consumer wa hao wahitimu
 
Hii couz ilianzishwa kutolea pale Udsm ikiitwa bachelor of science in industrial engineering haina utofauti saana na mechanical kwa sababu wanasoma baadhi ya masomo pamoja plus wao wanaongezea masomo ya engineering management
Kwa upande wa kazi wanafanya kazi zote anazoweza kufanya mtu wa mechanical
Naona university za nje wanayo... seems kwao ni nzuri lakini kwetu sidhani..


USING BROAD TECHNICAL AND BUSINESS EXPERTISE TO HELP ORGANISATIONS PERFORM BETTER.

Are you analytical and efficient? An entrepreneurial pacesetter? Do you want to help commercial companies or other organisations – such as hospitals or government agencies – to perform and collaborate more effectively in our increasingly complex society? Are you looking for a hands-on, academic programme that will give you vital expertise in the fields of technology, human behaviour and business processes? If so, the three-year English-language bachelor's degree in Industrial Engineering and Management (IEM) at the University of Twente (UT) is a good choice for you.




As an Industrial Engineer & Manager, you will be involved in designing, managing and improving business processes. You will make organisations more efficient, maximise profit, minimise risks, and improve quality and competitiveness. You will use models and techniques to systematically analyse strengths and weaknesses. In this programme you will also learn how to effectively implement necessary changes and how to assess the consequences these will have on organisations, staff, quality, finances, sustainability or market position. In order to do all of this, you will combine knowledge from areas including business administration, ICT, mathematics, and technology.​

 
Usipende kujibu kitu usichokijua kuna industrial engineers wengi tu wamesajiliwa kama professional engineers pale engineers registration board.
Nenda pale erb posta ukauulize upate elimu
Wew unasemea maengineer ,ila kamwe Mzumbe haitoi maengineer na hiyo kozi hauwi Engineer iyo inahusu management tu wapigie mzumbe uwaulize
 
Usipende kujibu kitu usichokijua kuna industrial engineers wengi tu wamesajiliwa kama professional engineers pale engineers registration board.
Nenda pale erb posta ukauulize upate elimu
Tatizo hujui vigezo vya engineering mtu wa CBG na engineering wapna WAP!?
 
Wew unasemea maengineer ,ila kamwe Mzumbe haitoi maengineer na hiyo kozi hauwi Engineer iyo inahusu management tu wapigie mzumbe uwaulize

Mkuu acha kukurupuka basi angalia post yangu wapi nimesema mzumbe wanatoa maengineer mie nimezungumzia kwa upande wa udsm tu ninayoifaham na siyo mzumbe.,
Em ondoa hiyo eng mwanzoni mwa jina lako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Baadhi ya couz wanazoshare na mechanical
Engineering design
Industrial service and maintenance
Strangth of materials
Workshop
Automotive engineering
Renewable energy
Thermodynamic
Engineering project management
Fluid mechanics
Industrial energy management
Ect.
But kuhusu mzumbe siijui yao wanatoaje but kwa hii ya udsm iko poa

Rejea hapo na nikaweka kabisa msisitizo kuhus udsm na nikasema mzumbu sifaham ya kwao ikoje,
Punguza kukurupuka mkuu si salama kwa afya yako
 
Mkuu acha kukurupuka basi angalia post yangu wapi nimesema mzumbe wanatoa maengineer mie nimezungumzia kwa upande wa udsm tu ninayoifaham na siyo mzumbe.,
Em ondoa hiyo eng mwanzoni mwa jina lako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah kwan wew una ID ngap !? Tuanzie apo kwanza
 
Topic sio industrial engineering ,je kozi ya alietoa uzi anayesomea anaweza kuwa engineer au hawezi !? Jibu swali
 
Wewe mbona Engineering yako kali imesimama ila ajira ulikosa. Hizo ulizotaja nazo zina changamoto
Usiangalie uzuri wajina la kozi ,tatizo lipo kitaani mzee hao niliokutajia ndio wanauza sokoni.Yaani kama muziki Kiba anaimba sana lakini Mond ndio anauza sokoni😂😂
 
Back
Top Bottom