wanataalum au udini mtupu..blah blah ...anzisheni chama cha siasa..au jiungeni na CCJ maana tunafahamu imetokana na waraka wenu ...msisumbue watu ...hakuna jipya kutoka kwa wakatoliki zaidi ya kupenda kupendelewa na kupenda kupita kutawala watu wenginee.. ...tunafahamu mmeshaanza kampeni zenu kanisani lakini.hadangayika mtu..siku hizi..
Tumaini long time! mkuu uko wapi?
Nakubaliana na wewe japo unapata upinzani mkali;
Sijaona sababu, utashi ,wala any reasonable explanation ya mtanzania kujitokeza kutaka haki au kupigania haki ya mtanzania kwa kutumia kimvuli cha kikundi fulani.
Vyama vya siasa, wanaharakati tumewapa hili jukumu. However, I am not saying they should not perticipate or advice anything no! but why are you saying 'mkristo'
Tanzania haina udini kama wengine mnavyotaka ionekane.
Tuma hoja yake ni ya msingi, japokuwa ameenda mbali sana (kwa mfano kusema wakatoliki kupendelewa na wameanza kampeni makanisani -hii kwangu I can testify kuwa si kweli)
Hoja ya msingi ambayo kila mmoja anapaswa kulaani ni kuwa hawakupaswa hawa watu kujitokeza kwa kivuli cha wana taaluma wakristo. Hivi wakristo wanataaluma wana chama? mbona mimi mkristo na niko tayari kumpigia kura mtanzania yeyote ninayeona anafaa! Hivi kwa nchi ya TANZANIA ukishasema mkristo, mwingine akasema mwislamu, then tutaenda mbali tutaanza kubaguana kwa madhehebu ambako kuna mgawanyiko mkubwa.
Fuatilieni na angalieni hao wanataaluma wakristo ni wa madhehebu gani? mimi mwenyewe ni mkristo na nimesoma, ala! mbona sikijuia hicho chama?
je wakiona mambo hayaendi watafanyaje? sio ndio wataona waanzishe chama cha siasa ambacho kita-comprise wakristo?? common tell them they are DEAD WRONG!
-Hebu tuajadili hii hoja bila ushabiki wa kidini.mimi kwa kusema kweli sikupenda hii kitu ambayo watu wamejitangaza wanataaaluma wa kikristu,sasa hapa ndipo udini unapokuja.
Mimi napinga hiyo taasisi kujihusisha na masuala ya kisiasa coz casuality yake ni kubwa kuliko wanavyofikiria.Tuacheni hizi elements za ubaguzi
Kwenye Hoja:
Hawa wanataaluma wangefanya jambo jema sana kama wangewaamsha tu wananchi na kuwapa elimu ya Uraia bila kuishambulia CCM.
Well said Ben, let us discuss facts here, ushabiki wa ukipofu hautalisaidia lolote taifa hili.
Hatuna matabaka ya kidini serikalini wala katika ngazi za uongozi, dini zao waziweke makapuni wao na familia zao. sikatai wana haki ya kusema na kufanya lolote lile kama wananchi, lakini why are you introducing as christian?
wakisema watanzania, haitoshi? what are we up to????