Wanatumia Vyoo vya kukaa hatarini kupasuka Makende

Wanatumia Vyoo vya kukaa hatarini kupasuka Makende

vyoo vya kukaa vinafaa katika matumizi binafsi nyumbani lakini sio katika matumizi ya uma maana binadamu ikivaa nguo anaficha mengi, wengine unakuta tackle lina ukurutu, stds,na mengine mengi ikawa tena ni njia ya watu kuambukizana yasiyofaa.
 
Inaonekana kwa asilimia 50% ya wanaume wanaotumia vyoo vya kukaa wako hatarini kupasuka makende hii ni kutokana na jinsi vyoo hivyo vilivyo na namna makende ya mtu yanavyokuwa wamening'inia pale anapokuwa uchi bila nguo hii inawaweka wanaume wengi hatarini kupasuka makende hasa pale anapokuwa anajaribu kujisaidia kwa kutumia vyoo vya kukaa kitendo ambacho kinamuweka hatarini kuyakalia hatimae yapasuke.

Vile vile vyoo vya kukaa ni changamoto kwa watu wanene pale wanapoenda haja kubwa kwani inaonyesha asilimia 50% ya watu wanene hushindwa kujisafisha vizuri pale wanapotumia vyoo vya kukaa wengine wanajikuta wanajipakaza kinyesi tu pale wanapjaribu kujisafisha wamekaa huku kwa upande mwingine wanajikuta wanajisafisha na kubaki na vinyesi bila wao kujijua.

Pia kwa upande wa usafi na usalama wa mtumiaji vyoo hivi husababisha bacteria ambao mara nyingi bacteria hawa huzalishwa na mabaki ya uchafu pale vyoo hivi vinapokosa matunzo mazuri hasa vikiwa vinatumiwa na watu wengi tofauti tofauti hata mke na mume n.k ndio maana mtindo huu wa vyoo haupaswi kuwekwa kwenye public toilet, ni chanzo magonjwa mengi kama U.T.I, FANGASI SEHEMU ZA SIRI, BAWASIRI, MIWASHO MAPAJANI NA SEHEMU ZA SIRI, PUMBU EROSION, na magonjwa mengine mengi.

Kwa kifupi tu ni kwamba vyoo hivi sio salama kiafya.
Sijaelewa, makende yako yako mkundn hadi uyakalie?
 
There's no award for suffer in yoruba's voice 😏 hivyo vyoo vina size, lakini pia kama unaogopa kupasuka kendy unaweza weka cha kulenga au kuchuchumaa kazi yote ya nini 🤣🤣 why can't you have a seat and enjoy your kuniya
 
Huku tu kwenye fani ya ujenzi vinajulikana kama "asian type" hivyo mtu asipofanya description kwenye orodha ya vifaa maana yake choo kinachotambulika ni cha kukaa "European type" hivyo kwenye miradi mikubwa choo ni cha kukaa unless uweke description kwamba unataka cha kuchuchumaa
Nimekuelewa boss
 
Nawaza kwa sauti wale wanaosema vyoo vya kuchuchumaa ni ushamba na uzamani basi waweke public toilet choo cha kukaa hasa masokoni, stand n.k hapa Tanzania ndio tutaelewa mzungu ni mchafu
Choo cha kukaa kinatakiwa kioshwe daily kama sahani au kikombe kwa kutumia detergent.
 
Inaonekana kwa asilimia 50% ya wanaume wanaotumia vyoo vya kukaa wako hatarini kupasuka makende hii ni kutokana na jinsi vyoo hivyo vilivyo na namna makende ya mtu yanavyokuwa wamening'inia pale anapokuwa uchi bila nguo hii inawaweka wanaume wengi hatarini kupasuka makende hasa pale anapokuwa anajaribu kujisaidia kwa kutumia vyoo vya kukaa kitendo ambacho kinamuweka hatarini kuyakalia hatimae yapasuke.

Vile vile vyoo vya kukaa ni changamoto kwa watu wanene pale wanapoenda haja kubwa kwani inaonyesha asilimia 50% ya watu wanene hushindwa kujisafisha vizuri pale wanapotumia vyoo vya kukaa wengine wanajikuta wanajipakaza kinyesi tu pale wanapjaribu kujisafisha wamekaa huku kwa upande mwingine wanajikuta wanajisafisha na kubaki na vinyesi bila wao kujijua.

Pia kwa upande wa usafi na usalama wa mtumiaji vyoo hivi husababisha bacteria ambao mara nyingi bacteria hawa huzalishwa na mabaki ya uchafu pale vyoo hivi vinapokosa matunzo mazuri hasa vikiwa vinatumiwa na watu wengi tofauti tofauti hata mke na mume n.k ndio maana mtindo huu wa vyoo haupaswi kuwekwa kwenye public toilet, ni chanzo magonjwa mengi kama U.T.I, FANGASI SEHEMU ZA SIRI, BAWASIRI, MIWASHO MAPAJANI NA SEHEMU ZA SIRI, PUMBU EROSION, na magonjwa mengine mengi.

Kwa kifupi tu ni kwamba vyoo hivi sio salama kiafya.
UISLAM UNASEMAJE KUHUSU HOJA HII YA MLETA MAADA?

Sunnah ya Kuchuchumaa

Mtume Muhammad (S.A.W) alifundisha kupitia matendo yake (Sunnah) umuhimu wa kuchuchumaa wakati wa kujisaidia. Katika zama zake, watu walitumia vyoo vya asili ambapo kuchuchumaa ilikuwa kawaida.

Sunnah hii inachukuliwa kama njia bora kiafya na usafi wa mwili, kwani inasaidia kumaliza haja kubwa kwa urahisi bila mabaki.



---

2. Faida za Kuchuchumaa Kiafya

Utafiti wa kisayansi umeonyesha kwamba kuchuchumaa:

1. Hurahisisha Utumbo Kazi: Kuchuchumaa kunalinganisha utumbo mkubwa na mfereji wa haja kubwa (rectum) kwenye mkao wa asili, hivyo hufanya haja kubwa itoke kwa urahisi na kuzuia matatizo kama kufunga choo (constipation).


2. Huzuia Bawasiri: Kuepuka kukaa kitako kupita kiasi kunapunguza shinikizo kwenye sehemu ya haja kubwa, hivyo kuzuia bawasiri.


3. Ni Usafi Zaidi: Katika mkao wa kuchuchumaa, kuna nafasi ndogo ya mabaki kubaki mwilini.
 
Huku tu kwenye fani ya ujenzi vinajulikana kama "asian type" hivyo mtu asipofanya description kwenye orodha ya vifaa maana yake choo kinachotambulika ni cha kukaa "European type" hivyo kwenye miradi mikubwa choo ni cha kukaa unless uweke description kwamba unataka cha kuchuchumaa
Una ushauri upi kama nataka kujenga Airbnb niweke zipi au both
 
Ile kukata gogo tis tis tis maji yanarukia matakozi hapana!! Kujisafisha kwa kuinama hapna!! Kifupi heka heka zake ni kama mtu unaloga tu vile 😂😂😂
 
Boss
Hii ni study yako.
Ungetusaidia waliopasuka makende wako wapi na hao wanene wasioweza kujisafisha.
By the way siku hizi vinatoa maji unasafishwa moja kwa moja
Wee..! so hatukusi nya tena..???
 
We unafikiri yanapasuka kirahisi? Mtaani tulishawahi kumkamata mwizi tukajaribu kumpasua na nyundo ila hayakupasuka
 
Inaonekana kwa asilimia 50% ya wanaume wanaotumia vyoo vya kukaa wako hatarini kupasuka makende hii ni kutokana na jinsi vyoo hivyo vilivyo na namna makende ya mtu yanavyokuwa wamening'inia pale anapokuwa uchi bila nguo hii inawaweka wanaume wengi hatarini kupasuka makende hasa pale anapokuwa anajaribu kujisaidia kwa kutumia vyoo vya kukaa kitendo ambacho kinamuweka hatarini kuyakalia hatimae yapasuke.

Vile vile vyoo vya kukaa ni changamoto kwa watu wanene pale wanapoenda haja kubwa kwani inaonyesha asilimia 50% ya watu wanene hushindwa kujisafisha vizuri pale wanapotumia vyoo vya kukaa wengine wanajikuta wanajipakaza kinyesi tu pale wanapjaribu kujisafisha wamekaa huku kwa upande mwingine wanajikuta wanajisafisha na kubaki na vinyesi bila wao kujijua.

Pia kwa upande wa usafi na usalama wa mtumiaji vyoo hivi husababisha bacteria ambao mara nyingi bacteria hawa huzalishwa na mabaki ya uchafu pale vyoo hivi vinapokosa matunzo mazuri hasa vikiwa vinatumiwa na watu wengi tofauti tofauti hata mke na mume n.k ndio maana mtindo huu wa vyoo haupaswi kuwekwa kwenye public toilet, ni chanzo magonjwa mengi kama U.T.I, FANGASI SEHEMU ZA SIRI, BAWASIRI, MIWASHO MAPAJANI NA SEHEMU ZA SIRI, PUMBU EROSION, na magonjwa mengine mengi.

Kwa kifupi tu ni kwamba vyoo hivi sio salama kiafya.
Aruguments za waswahili ni za kipuuzi sana. Wanaume wangapi wamepasuka kende kwa kukaa kwenye kiti?
 
Weka vya kukaa vya kuchuchuma vishapitwa na wakati ,vyoo vya kukaa vizuri mno
Ntafanya hivyo Asante
Ingawa kuna wengine unakuta hataki kukaa kwa sababu wengine wanajisaidia wima na kuchafua sehemu ya kukalia
Inatokea sana hii na nimeona vyoo vinavunjwa kwa wengine wanaokaa juu ya toilet seat kabisa kama anaendesha farasi 😄 🤣 😂
 
Siku hizi watu wajinga na wenye mambo ya kuiga bila kujiuliza hujifanya kuwa wana exposure,wakati ni wapumbavu watupu.

Leo kusema choo cha kukaa sio salama eti ni ushamba,inahitaji akili gani kujua kile Choo si salama sana kiafya hasa kwenye jumuiya au kwa watu wanene?

Sijui kwanini watu wajinga wanajiona wajanja kisa kuiga na kujiita wana exposure.
Namna Mojawapo ya kumjua mtu mshamba na asie na exposure ni akianza kuponda vyoo vya kukaa
 
Back
Top Bottom