Wanauchumi na watu wa Fedha, nini sababu ya hili hapa?

Hizo ni figures tu ambazo kiuhalisia zinafanana sema tofauti ni ndogo sana kiuchumi ila purchasing power ni ile ile wala isikutishe mfano ni huu 1$=2181 na 1$ = 13.56 rand ambapo 1 Rand = 157 Tanzanian shilling hivyo ukichukua 157 Tshs x 13.56 = 2128 ambayo itakua dollar moja sasa hio ambayo dollar moja hio utaweza nunua vocha 500 au 1000, soda(take away) halafu itakua imeisha sijui unaelewa hapo
 
Sidhani kuwa kuna mtu ambaye amenipa majibu ya kuridhisha hadi sasa hvi,So unadai haina maana kwa currency ya nchi maskini kuwa very strong,huzijui hasara zake?
 
Sidhani kuwa kuna mtu ambaye amenipa majibu ya kuridhisha hadi sasa hvi,So unadai haina maana kwa currency ya nchi maskini kuwa very strong,huzijui hasara zake?


Alichokujibu jamaa hapo juu ni sahihi kwa ninavyoelewa maana wewe unaona hizo hela ni ndogo kwakua zipo kwnye thamani ya hela zao lkn ukizibadiri kwa hela ya tz thamani ipo sawa,mfano hela ya Kenya $1=101.51 na tshs 1= kshs 22....sasa chukua 101.51*22=2233...sasa hiyo hela ya Kenya Ina tofauti gan na ya tz?hizo ulizoweka wewe ni figure tu lkn kiuhalisia thamani ni moja.
 
vvća !wscc v v vv vvcvvv2!fřt G y ?gt yCbwbwvwvwv vvwwwwvw w wvvww w wwb bvbb b wbwvw2vvwwwvvb vvrbvvb2 vbwbw b bwwv b 2bb ww wvwv wv vwvrb😡!
 
Uzalishaji wa ndani umekufa kabisa, Mkapa akiwa Raisi, wazalishaji wa nguo aina ya Batiki walikuwa wengi sana; sasa hivi soko lao limechukuliwa na vitenge toka Nigeria. Bakula za bati zilizokuwa zinazalishwa na viwanda vya SIDO soko lake limechukuliwa na bidhaa za plastic toka china. Bidhaa za ngozi, wazalishaji wake tuliozoea kuwaona wanakaa barazani wamefukuzwa soko lake limechukuliwa na bidhaa mfano wa ngozi toka china. Mafundi cherehani tuliowazoea kuwaona mabazani wamefukuzwa na soko lao kupewa bidhaa toka Uganda, China, India na Uturuki.

Raisi mteule akubali kupoteza mapato ya serikali yatokanayo na ushuru wa bidhaa ili makundi niliyoyataja yapewe kipaumbele katika uzalishaji
 
thamani ya sarafu ya nchi fulani haipimwi kwa uchache au wingi wa digits bali inapimwa kwa purchasing power ya sarafu husika ukilinganisha na nchi nyingine
 
Unapotaja mifano usiweke nchi zilizoendelea,taja mifano kama Ethiopia,Kenya,Burundi n.k... swali ni kuwa kwanini currency zao ina thamani sana Kuliko Tsh?

Sisi tuna import sana kuliko Burundi. Hivyo sisi tunaihitaji sana US$ kuliko wanavyoihitaji Burundi. Demand ikiwa kubwa with a constant or less supplies (of US$) probably the price or value of it will rise.

Burundi hawahitaji US$ zaidi kuliko sisi sababu ya factors nyingi tu. Same way to Somalia, unafikiri wao wana amani au raha za kutosha kuagiza magari ya kifahari, electronic equipments kama TV, radio au kuleta nguo kutoka China labda? Jibu ni hapana hivyo kwao wao US$ sio issue au dili sana kwao.
 
Hawezi kuelewa aisee maana yeye amejichanganya na hizo figures wakati kiuhalisia purchasing power ni ile ile tu aiseee...
 
Asante mkuu, I wish huyo mteule apite humu, akutane na ujumbee huu
 

Huwezi ukasema kirahisi hivyo nikakuelewa na huwezi ukasema hizo ni figure tu kana kwamba hujui athari zake kiuchumi...ingekuwa ni hivyo Western countries wasingeshusha thamani ya fedha ya Urusi,wanajua impact yake ndo maana wakafanya vile kwa Russia.Maelezo ya Shark ndio nimeyaelewa na ndio inawezekana kuwa ni factor mojawapo kubwa zaidi lakini sio maelezo yako.
 
Last edited by a moderator:

Ok,asante.Hili linaweza kuwa jibu sahihi zzaidi.Nitarudi nitakapojua Botswana wanazalisha nini zaidi ambacho Tanzania hatuzalishi na wanauza nini nje ambacho sisi hatuuzi pia kwa wingi.Asante mkuu
 
Hawezi kuelewa aisee maana yeye amejichanganya na hizo figures wakati kiuhalisia purchasing power ni ile ile tu aiseee...

Duh...safi mkuu....maana hiyo kitu(figures) sikuisoma kipindi nasoma uchumi....duh au sikuelewa hahaha.....sasa ni balance sheet tu.
 
Kumbe haina maana sana pesa kuwa na thamani hongera sana msomi wa Tz
kumbuka ni sera pia ya imf na world bank kushusha price ya fedha ili kuprovote price of export or value...... ukitaka kupromote export kwa nchi zinazoendelea unaweza shusha thamani ya fedha ili ukiexport ukiuza kwa dola unapata faida kubwa. hii pia iinafanywa ili kupunguza volume of import by making export cheaper and import expensive
 
umbuka ni sera pia ya imf na world bank kushusha price ya fedha ili kuprovote price of export or value...... ukitaka kupromote export kwa nchi zinazoendelea unaweza shusha thamani ya fedha ili ukiexport ukiuza kwa dola unapata faida kubwa. hii pia iinafanywa ili kupunguza volume of import by making export cheaper and import expensive
 
thamani ya sarafu ya nchi fulani haipimwi kwa uchache au wingi wa digits bali inapimwa kwa purchasing power ya sarafu husika ukilinganisha na nchi nyingine

Hao wengine wamejaribu lakini MIMi nakubaliana na jibu hili.
Mfano Tanzania ikiamua kufanya rebasing kwa kubadilisha sarafu tukaleta sarafu mpya ya Tshs 1 = sarafu ya zamani Tshs 1000
Kwa muktadha huo, 1 USD itakua sawa na Tshs 2.1812
Je utasema Shilingi ya Tanzania ina thamani zaidi kuliko hapo awali?!
Jibu ni HAPANA
Purchasing Power ya Sarafu ndo inaonyesha nguvu ya Sarafu. Ndio maana Tanzania inahamasisha Kilimo. Ukiweza kuzalisha sana in surplus na kuuza nje na hivyo bei ya chakula kupungua, purchasing power ya sarafu itaongezeka kwa kuwa utaweza kula milo mitatu kwa Tshs 5000 (hii ni kwa nadharia - ceteris paribus)
 


Kumbuken, kuna wakat dolla 1=1000, unataka niambia ilikua pungyfu wakat huo? Hebu toeni majibu ya kurudhisha
 
thamani ya sarafu ya nchi fulani haipimwi kwa uchache au wingi wa digits bali inapimwa kwa purchasing power ya sarafu husika ukilinganisha na nchi nyingine

unasemaje kuhusu dolla ya Zimbabwe?au haina madhara hata kama unajaza kiroba cha hela kwaajili ya kununua kipande cha sabuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…