Wanauchumi nipeni bajeti nikiwa na buku 3 natoboa vipi siku

Wanauchumi nipeni bajeti nikiwa na buku 3 natoboa vipi siku

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Wanazuoni na walioboboa kwenye uchumi hapa naishije Kwa siku

Nikiwa na buku 3 na ramani zimegoma

Hapo iwepo breakfast, lunch na dinner na nitambe Kwa mtaa

Naomba ushauri wa kina, me ni Mtanganyika mwenzenu
 
Unanunua bando la elfu 2 then unachukua soda ya buku halafu unalog in jf mpaka siku inakata.
 
Asubuhi chai ya mia mbili na maandazi manne ya 800 mchana wali wa buku usiku wali wa buku tena na maji ya bombani ya kutosha
 
Mihogo 5 + mchuzi wa kachumbari = 500
Ugali mboga = 1000
Ugali mboga au wali/ukoko mboga = 1000
Maji ya kunywa = 500

Kama una-smoke, mihogo ya 300 sigara 200 ya kukata njaa
 
Njia ni nyingi..
1. Asubuhi piga neutral, msosi wa mchana ule mida ya saa 7 kuelekea 8 hivi,kula msosi wako wa buku jero, kisha endelea na mishe zako, saa 2 hivi mihogo yako ya buku na juice ya jero, asubuhi hii hapa, unaiokota kizeembe.

2. Au la jitahidi asubuhi kifungua kinywa ukigonge kati ya saa 5-6 hivi muda ambao mama ntilie wamejikatia tamaa wateja wa chai we ndio unajisogeza.

Mbagala buku 3 unakula asubuhi, mchana na jioni.
 
Back
Top Bottom