Wanaume: Acha ujumbe kwa demu aliyekula nauli alafu hajatokea!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] yna4 umeua tatizo wanajileta wenyewe... Mnigeria wa watu

Kama kuwalia hakuna idadi nimewalia sana alafu kama Demiss alivyosema hela zao hata huwa haziumi roho unatumia unavyotaka.... Ndomana Wanaume wanaongoza kwa kujinyonga kwa hali hiii
 
#POOVUU MKUU
 
Hahahahaha pole weeee
 
Kweli lakini pesa usiyoitafuta wewe tamu balaa kwenye matumizi...mnigeria kajileta na $200 nikaenda kuchange ile siku ilikua ni ya shopping mwanzo mwisho kinondoni ilitukoma ahsante kwa mnigeria
 
Kweli lakini pesa usiyoitafuta wewe tamu balaa kwenye matumizi...mnigeria kajileta na $200 nikaenda kuchange ile siku ilikua ni ya shopping mwanzo mwisho kinondoni ilitukoma ahsante kwa mnigeria
Makofi kwake huko aliko[emoji122] [emoji122]
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Sijawahi kutuma hela ya nauli ila mie ndie hutumiwa halafu ninashangaa alie nitumia hata kama yupo mkoa anakuja.
 
[emoji3][emoji16][emoji16]wanaume baadhi wanajisifu hawajawahi kubet wakati tendo La kutuma nauli kwa asiyejulikana kutoka dar hadi mwanza ni kubet toshaa
Kabisa alafu lazima wakatae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…