Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SanaaaaaInakuwaga mishambaaa
[emoji16] [emoji16] [emoji16] kuna moja lililiwa mchana kweupe...kin'gan'ganizi tuonane nakutumia nauli..sawa tuma akatuma laki1 ya tax nilivyoipata nikazima simu..jinga sana lileAlafu haikomiii full kuliwa nauli
Hahahah maajabu ujue kuna moja nipo Msata n[emoji16] [emoji16] [emoji16] kuna moja lililiwa mchana kweupe...kin'gan'ganizi tuonane nakutumia nauli..sawa tuma akatuma laki1 ya tax nilivyoipata nikazima simu..jinga sana lile
Kwa sababu nina hasira nae sana naweka picha yake hapa sasa hivi![emoji53][emoji53][emoji53]Polee sana naiman hujawahi rudia tena
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] naona alikutafuta hadi alidataHahahah maajabu ujue kuna moja nipo Msata n
akatuma nauli akuuuu nikamwambia napanda daladala mpaka Makumbusho njia nzima namchatisha vituo vyote kwa sms ile navizia huu muda Nakaribia makumbusho nikazima simu chapuuu hela nimeshatoa kitambo ili asishtuke kutoa
Ameshanyea Kilimanjaro ndogo maana ndo bia anapendaga niliona sehemu kaandikaAkifika mwambie anirudishie pesa yangu nimtumie mwingine![emoji12]