Wanaume: Acha ujumbe kwa demu aliyekula nauli alafu hajatokea!

Wanaume: Acha ujumbe kwa demu aliyekula nauli alafu hajatokea!

Nilikuwa na kidate na sista du mmoja, tukakutana mlimani city, tukaongea na kunywa vinywaji baridi, wakati wa kuagana akaniambia nimpe nauli yake aliyotumia kukutana na mimi....that was too low.

... mwanamke wa hivyo tukishapeana kisogo ndio kwaheri.
 
Nilikuwa na kidate na sista du mmoja, tukakutana mlimani city, tukaongea na kunywa vinywaji baridi, wakati wa kuagana akaniambia nimpe nauli yake aliyotumia kukutana na mimi....that was too low.

... mwanamke wa hivyo tukishapeana kisogo ndio kwaheri.
Hahahaaha
 
Mimi kuna mmoja aliniambia tuma nauli nije...hata simjui..nikamwambia natuma...alihangaika huyo acha.
 
Najua wanaume wengi mmepigwa sana vibomu na warembo.
Nauli mnatuma alafu warembo hawatokei ni balaaa.


Mimi Demiss nimekula sana tu nauli za wanaume hasa kipindi nipo chuo kwa kutumia mbinu mbalimbali za kivita za utapeli.
Wanaume wa Facebook
Wanaume wa IG.
Wanaume wa mtaaani anakuita uende sehemu unamwambia tuma nauli na wala huendi.


Hata hapa Jf nimeshakula sana nauli karibuni wote niliokula nauli zenu mtiririke na kuserereka in Gentamycine voice.

Mfano wa comment:

WEWE DEMISS HAKIKA SITAKUSAHAU NIKAKUTUMIA NAULI UTOKE DODOMA KUJA MWANZA KUMBE NI UONGO NAPIGA SIMU UNANIAMBIA UMEFIKA NZEGA SIJUI ULIKUWA UNATUMIA UONGO GANI VITUO VYOTE VYA BASI UNAVIJUA HAKIKA WEWE NI TAPELI KULIKO HATA WALE WA HELA HII ITUME KWENYE NAMBA HII
NASEMA DEMISS TAPELI MKUBWA WEWE SITAKUSAHAU UKAAMUA NA KUNIBLOCK HAKIKA UNA DHAMBII KULIKO HATA SHETANI.

Karibuni jamani wanaume mtuchambe leo wanawake.

Wanaume tuko pamoja leoo eeeeeh
Weka hapa namba yako ya simu nikutumie nauli utakapoacha kuja gheto ndio nije hapa jukwaani kukomenti.
 
Back
Top Bottom