Wanaume, achani kutembea na liabilities

1.Mwanamke anayewaza kutumia tu na siyo kuongeza ela

2.Mwanamke asiyependa kupika nyumbani yy kula migahawani na hotelin tu

3.Mwanamke ambaye ukiamua kutoka naye siku anawaalika na marafiki zake[emoji53] etc
 
Hawa viumbe wa ajabu sana unamtumia muamala leo kesho tuchat anakuambia hana sms,ukimuuliza si nimekutumia hela jana anajibu yaan mimi kutoa hela kununua vocha siwez kwahy sisi ndiyo hela zetu hazina kazi
 
Hawa viumbe wa ajabu sana unamtumia muamala leo kesho tuchat anakuambia hana sms,ukimuuliza si nimekutumia hela jana anajibu yaan mimi kutoa hela kununua vocha siwez kwahy sisi ndiyo hela zetu hazina kazi
[emoji23][emoji23]"Wanaume tumeumbwa Matesooooooo[emoji442][emoji443][emoji444][emoji444]
 
Hawa viumbe wa ajabu sana unamtumia muamala leo kesho tuchat anakuambia hana sms,ukimuuliza si nimekutumia hela jana anajibu yaan mimi kutoa hela kununua vocha siwez kwahy sisi ndiyo hela zetu hazina kazi
Umenikumbusha kuna siku nimefulia nina 10k tu mfukoni wife NAE anadai inabidi tuigawane nipate nauli ya kwenda mizunguko, bahati alikuwa na elfu5 akanipa so nikamwachia yeye 10k , sehemu ninako enda nauli elf4 ajabu ananitumia sms nitumie vocha ya 2000 , asee ile sms nilivyoona kila nikiandika sms nafuta ,mwisho nikakaa kimya
 
Sure
 
Hapana tulikubaliana kwamba kwenye ngono mwanamke ndiye anayepata hasara zaidi sababu anatumika na anayechakaa ni yeye na viungo vyake na siyo ninyi, hivyo mnatakiwa muwalipe fidia kwa kuwapotezea muda na kuwachakaza maana ninyi hamna cha kupoteza kwahiyo si mbaya mkipoteza pesa zenu ili iwe win win situation, halafu hadi leo hii bado mnaamini mwanamke akisema hana nauli basi ni kweli hana na ana njaa hebu jiongezeni siku hizi wanawake hawana njaa kiasi hicho ni hampendwi tu
 
Binti wa samia tumekusikia.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…