Wanaume acheni huu uchafu

Mkojo upi unaozungumzia hapa Khantwe? Mkojo huu huu ambao ni mkojo au mkojo mkojo? 😜

 
Mkojo upi unaozungumzia hapa Khantwe? Mkojo huu huu ambao ni mkojo au mkojo mkojo? [emoji12]
Wote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Reactions: BAK
Hao pia wapo?

wapo,nimewahi kuishi jirani na jamaa wa hivo[emoji23],akawa anaacha tunasafisha hatumwambii,kuna siku nikawa na mgeni kwangu akaungia bafuni akakuta hali si hali[emoji1787].afu mgeni wa kike
 
wapo,nimewahi kuishi jirani na jamaa wa hivo[emoji23],akawa anaacha tunasafisha hatumwambii,kuna siku nikawa na mgeni kwangu akaungia bafuni akakuta hali si hali[emoji1787].afu mgeni wa kike
[emoji16][emoji16] unasafishaje uchafu wa mtu aisee mimi siwezi, kuna siku nilikuwa nafua uchafu wa mtoto ile nimeenda chooni kumwaga nikaunganisha na kutapika...
 
Kinyaa chako si cha dunia hii Khantwe, lakini uchafu unaudhi sana na wengine wala huwa hawajali kabisa kwamba kuna wenzangu pia tunatumia pamoja.

[emoji16][emoji16] unasafishaje uchafu wa mtu aisee mimi siwezi, kuna siku nilikuwa nafua uchafu wa mtoto ile nimeenda chooni kumwaga nikaunganisha na kutapika...
 
[emoji16][emoji16] unasafishaje uchafu wa mtu aisee mimi siwezi, kuna siku nilikuwa nafua uchafu wa mtoto ile nimeenda chooni kumwaga nikaunganisha na kutapika...

pole sana[emoji28],sisi wanaume tumeshaona kila aina ya kinyaa,so huwa hatutapiki
 
Kinyaa chako si cha dunia hii Khantwe, lakini uchafu unaudhi sana na wengine wala huwa hawajali kabisa kwamba kuna wenzangu pia tunatumia pamoja.
Yaani acha tu, mtu mwingine anamwaga maji uchafu utoke pale juu kwenye sink tu ukichungulia kwa ndani hivi unaona kitu kinaelea
 
Reactions: BAK
Baby nitakuhamisha huko uhamie kaself kako, watakuambukiza UTI bure[emoji8][emoji8]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]amekimbizwa hospitali baada ya kuzimia kutokana na harufu ya mikojo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…